Ayatollah the Bird
Member
- Jul 30, 2026
- 87
- 218
Wengi wamenikatisha tamaa kwako.ila siwezi nikayaskiliza naamini kivyangu ww ni binti mzuri mwenye heshima.
Aisee,ww ni binti mzuri mwenye heshima.
Acheni ujuha kwani nini mbaya mtu kuandika anacho hisi? This is another version of bullying.Kila zama hapa JF inakuwaga na mazuzu wake aisee
Mtu anaaamka saa kumi na mbili asubuhi kuandika hii, it says a lot kuhusu mentallity yake
Naomba akikujibu hili unitag.Aisee,
Halafu inakuwa kwa zamu?!
Wengi wamenikatisha tamaa kwako.ila siwezi nikayaskiliza naamini kivyangu ww ni binti mzuri mwenye heshima.
Ni kupokezana kama ubingwa wa La Liga, Leo Barca kesho Madrid.Aisee,
Halafu inakuwa kwa zamu?!