Recent content by Awwee

  1. Awwee

    JamiiForums Tanzania Bachelor of Arts in Economics and Sociology

    Dah, iyo kozi sio mbaya ila bongo connection tu hata ukiwa na degree ya maua Well, BAES ni course ambayo ina economics and sociology kwa hy unaweza fanya kazi za course hz *Afisa mipango *Afisa ufuatiliaji na tathimini *Business development officer *Mwalimu wa chuo economics kwa collage n...
  2. Awwee

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    Angalizo ukiona una attach kitu halafu ukirud hukioni jua kuwa ulicho attach kina size kubwa kuliko minimum size iliyowekwa kwa mfano attachment ya vyeti inatakiwa isizidi 700kb so ukiweka zaidi ya hy ukiaangalia tena huikuti the same kwa cv kama ni level ya professional cv isizidi 2mb ila form...
  3. Awwee

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimepata kazi kupitia JF

    hongera mkuu, hakika hardwork pays, sasa tunakuomba na wewe uwe daraja kwa wengine mungu atakubariki sana akina sisi wa sosholoji na wengine
  4. Awwee

    JamiiForums Tanzania Idara ya uhamiaji ipoje?

    ushakuwa na uhakika nini mwanangu, anyway kozi ni miezi 6, n mshahara usiexpect sana na huwezi pata clear figure, jua mshahara unatofautiana kwa cheo na elimu.. chukuwa hiyo
  5. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    kuna maeelezo yanasema tuingie kwenye account zetu na kunakili namba ya usaili.... tuinapata wapi namba ya usaili alie elewa msaada
  6. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    inategemea wewe ulijaza address ipi wengi wamepangiwa sehemu za karibu ana walipo na mikoa husika
  7. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    haya sasa wazee mkeka umetoka rasmi kila mtu akaangalie bahati yake kama yupo kweny shortlist.....nimewaletea kabisa hapa
  8. Awwee

    JamiiForums Tanzania Msaada: Sina amani wala furaha tena kuhusu kazi ninayoifanya hivi sasa

    nina experience ya kufanya kazi private sector, huwa mara nyingi huwa kusa kwao ni kosa hata kamba una perform well 100%ukikosa mara moja km unataka kuua company, first relax fanya kama ni mapito, maana hakuna kosa kubwa yote yana solvika vzr tu. mfano iyo kutoa risiti kubwa si tatizo ukikosea...
  9. Awwee

    JamiiForums Tanzania Moja ya Manaibu Waziri ninayemuelewa ni Godfrey M. Kasekenya

    Habri wakuu, moja kati ya manaibu waziri sahihi katika kipindibhiki basi ni Mha. Godfrey M. Kasekenya (naibu waziri ujenzi na uchukuzi) , nimevutiwa na utendaji wake wa kazi hasa kujibu maswali ya waheshimiwa wabunge wa JMT wanapouliza juu ya barabara huwa anazijua barabara zote zikiwa zinapita...
  10. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    wakuu changamoto yang ni kwamba nimeomba post mbili moja imekubali ku attach kila kitu ila hii ya pili kila niki attach zinatoka inabaki sehemu ya cover latter sasa cjajua kwa kuwa account ni moja watatumia zile zile ama vp....,.msaada mwenye kujua tatizo nini
  11. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    passport unaweza unga doc ya cv na passport hlf unaweka pale kweny curriculum vitae
  12. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    kwa walio maliza kuomba je unaweza omba post mbili tofauti kwa kutumia account moja
  13. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    how
  14. Awwee

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    Doh sisi wengine tumejaza ila tumesahau ku attach passport size kwa hy ndo nishakuwa disqualified ama.... au nini naweza fanya maan post ukishaomba haionekani tena
Back
Top Bottom