Panther side
Member
- Jan 6, 2020
- 13
- 12
Wakuu Kwa anaefahamu kozi ya uhamiaji inatumia mda gani kukamilika Kwa Askari mpya na salary zao
Ushapata tayar kitengo? MkuuWakuu Kwa anaefahamu kozi ya uhamiaji inatumia mda gani kukamilika Kwa Askari mpya na salary zao
Anhaaa shukrani Ila nilihitaji pia kufahamu kozi zao huwa Kwa muda gani mpk kukamilikaKuna marupurupu na kitu kidogo. Palle airport ndo kwenyewe haswa kwa ulaji
Good 9 monthsAnhaaa shukrani Ila nilihitaji pia kufahamu kozi zao huwa Kwa muda gani mpk kukamilika
Shukrani mkuuGood 9 months
6 month chief ,chukua hiiShukrani mkuu
Nasikia sahv ni 9monthsKuna kipindi walikuwa wanapiga 3months kwa sasa sina hakika kama ni miezi 3 hiyohyo au wameongeza.
Nasikia sahv ni 9Kuna kipindi walikuwa wanapiga 3months kwa sasa sina hakika kama ni miezi 3 hiyohyo au wameongeza.
Na maafisa wao pia hupiga kozi nyingine baada ya hiyo ya miezi Sita sio!?ushakuwa na uhakika nini mwanangu, anyway kozi ni miezi 6, n mshahara usiexpect sana na huwezi pata clear figure, jua mshahara unatofautiana kwa cheo na elimu.. chukuwa hiyo