Recent content by Awesi TIMH

  1. A

    Mtoa Habari za kuaminika JF

    jikubali wewe mwenyewe kwanza
  2. A

    Hatimaye nimeongeza miaka 50 ya kuishi duniani, asante Yesu

    umesoma au unaelimu? kweli unaami hivyo kabisa hii hatari sana
  3. A

    Hivi kuna uwezekano wa kumtumia mtu games kupitia email?

    Wadau habarini za mchana, Kuna uwezekano wa kumtumia mtu game kwenye email then aka download na kuenjoy na kupunguza stress, kwan ndo raha ya magame? Kama upo naombe mnisaidie kunitumia magame maana ni raha sana kwa wale tunaofahamu. Please naombeni, email yangu ni mjule943@gmail.com
  4. A

    Nafasi za kazi

    mjule943@gmail.com
  5. A

    Natafuta kazi ya kuwa wakala wa m-pesa

    habari wadau mlio na nafasi hiyo naomba mnipatie kwan nina uzoefu nayo kwa aliyetayari ani pm kwa kutuma mawasiliano yake asanteni nawasilisha
  6. A

    Nimeshafanya maamuzi penalti yangu napiga wapi: Hata Lowassa akihama leo napigia kivuli

    Nyie ndo hamjielew kabisa ni wanafiki kuliko kupigia ukawa bora nipigie ACT kwa sababu wamewazid sela na MAGUFULI ndo rais wa tz
  7. A

    Tunapendana au tunatamaniana

    tulia ww kwan kuna chakula gan ambacho hujawahi kula mpaka xaxa kinachopatikana sehemu yako acheni hzo kama kubadili tayari huoni hapo ni tamaa tuuu
  8. A

    Ni nchi gani yenye mapenzi ya kweli tofauti na uliopo

    tangu utotoni huku tz ni uvunjifu wa maadili inawezekana yanaenda na culture
  9. A

    Ni nchi gani yenye mapenzi ya kweli tofauti na uliopo

    ok kuna aina nying ya mapenz ninayo ongelea ni ya kimwil
  10. A

    Ni nchi gani yenye mapenzi ya kweli tofauti na uliopo

    nina ongelea mapenzi ya kimwili na sio ya kawaida kwan kuna aina nyingi ya mapenzi hata watangazaji huita ndugu mpenzi msikilizaji na mtazamaji ok
  11. A

    Ni nchi gani yenye mapenzi ya kweli tofauti na uliopo

    hongereni sana maana huko nayasikia sikia yapooo
  12. A

    Ni nchi gani yenye mapenzi ya kweli tofauti na uliopo

    kumekuwa na mapenzi ya mikataba na pia ya kweli bila kusahau yale ya njia kuu na michepuko lakin mapenzi ya kwel bado yapo japo kwa mbali xana je tofauti na tanzania ni wapi true love found
  13. A

    Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

    atajua mwenyewe kilicho mpeleka hk kukwepa hasira za wana cuf hakupo kwan sasa naye ni mwanachama wa kawaida siasa noma
Back
Top Bottom