Recent content by avinus albogast

  1. avinus albogast

    Hivi ni kwanini CCM inachukiwa sana mitandaoni? Imekosa nini?

    Vijana wa chama cha mapinduzi huwa hatuna muda wa kushinda mitaandaano siasa zetu ni majukwaani na vitendo na sio porojo kama nyumbu wa Serengeti.
  2. avinus albogast

    Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

    Kk umepotea njia utapigwa ngumi za uso pasipo kutambua aliyekupiga hakuna mhuhuni yoyote wa chadema anayeweza kukwambia historia yake.
  3. avinus albogast

    CCM mpo vipande vipande mtaongozaje nchi?

    Toa boriti kwanza jichoni kwako ndio utoe kibanzi jichoni kwa mwenzako
  4. avinus albogast

    Aeshi Hilaly (Mb-CCM): Nilitishwa na Makonda hadi sasa naogopa kwenda Dar kwa usalama wangu

    Sikuzote alikua wapi mpaka aseme Leo? Kwani DSM ndiko kwa wapiga kura wake akae huko huko kwa waoigara kura wake wasaidiane kutatua changamoto zinazowakabili. CHAPA KAZI MAKONDA
  5. avinus albogast

    Hatudanganyiki tena na push-up

    Unataka nani akuonee huruma?
  6. avinus albogast

    Atakaecheza na wasanii,2020 kura za vijana atazisikia kwenye bomba

    Huwo na wewe ni mtazamo wako. Pole kwa yalikufika.
  7. avinus albogast

    CUF: Tamko la kulaani hatua za Rais Magufuli katika uendeshaji wa nchi

    VIVA CCM VIVA MAGUFURI VIVA TANZANIA
  8. avinus albogast

    UVCCM mbona mko kimya sakata la vyeti feki vya Paulo Makonda?

    Hatuna muda wa kubishana na nyumbu .HAPA KAZI TU.
  9. avinus albogast

    Wafuasi wa CHADEMA mitandaoni tuige Mfano wa Lizaboni wa CCM

    Mtabadilika vipi wakati lizaboni hataki mabadiliko poleni karibuni CCM chama makini kwa watu makini mtetezi wa wanyonge ujinga hatutaki.
  10. avinus albogast

    Anaandika kada mkongwe wa CCM kuhusu uamuzi wa Magufuli juu ya Makonda

    Hamna jipya jipangeni kivingine mwenyezi mungu amekwisha mwinua nyie mnapiga kelele kana kwamba ulipokonywa nafasi yako poleni sana nyumbu
  11. avinus albogast

    Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

    Pole sana ccm ni ile ile na wembe wake hauishi makali mtaendelea kuisoma tu.
  12. avinus albogast

    Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa DSM?

    Unyumbu utawasumbua sana mlitaka kuiona imechakaa kama ya ufipa?
  13. avinus albogast

    Mapenzi hayachagui status

    Dhu nice story kumbe wakina shigogo mpo wengi
  14. avinus albogast

    Tetesi: Yanayojiri ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)

    Imekula kwenu nyumbu nyie aliyepewa na kapewa hata siku moja mwanadamu hawezi kutengua ata kama makonda ataondolewa kwenye urc bado anayo nafasi kubwa ya kuwa kiongozi mkubwa ndani ya taifa hili
Back
Top Bottom