Hivi ww ni marehemu,au uko hai !ccm imemgaragaza nani ktk nn? Huo uvunjaji wa kanuni na taratibu za uchaguzi wa hill bunge uliotafcriwa na mahakama ya Afrika mashariki,umetafcriwa /kutolewa na ccm? Ubabe na uvunjaji wa sheria ndo kugaragaza? Ona aibu ya kauli zako ! Ss unataka kutuongopea kua ccm inamshikamano ? Tena haiko vipandevipande hata mwenye mada yake kakosea,iko chengachenga km za mchele !.nape na kiccm chake,kafumu na kamata kilamtu nakapande kake,bashite na magu kakwao,msukuma kakwake,wacosema,nakuangalia Mpira unavyochezwa nao wanatupande twao.achilia mbali kina Sophia simba na wenzake.weweeeee acha kutufanya tanuyusiligi hapa,kwendauko alah.