Recent content by aviJR

  1. aviJR

    Mliochaguliwa NIT tukutane hapa

    Tutakutana kesho jaman
  2. aviJR

    Mliochaguliwa NIT tukutane hapa

    kwa simu zetu mbn ni zaid ya desktop mkuu.. Hakuna option ambayo inakuwa set ubrowse website kwenye Desktop
  3. aviJR

    Mliochaguliwa NIT tukutane hapa

    Huwezi amini sjaenda kuchukua Admission mpaka sasa ..vip mbn site yao ipo down siku zoote hzo ..hamjawauliza mkuu
  4. aviJR

    Mliochaguliwa NIT tukutane hapa

    Kwa wale Mliochaguliwa NIT first Year 2015 tuktane hapa Tupeane UPDATES maana nashanga WEBSITE YA CHUO ipo Down More than 3 weeks . Hawa jamaa wapo serious Kweli?
  5. aviJR

    UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

    Progrommers woote in SELFISH hapa bongo You will never step ahead .
  6. aviJR

    Msaada kuinstall whatsapp ktk pc

    Yaah weka hizo error yani inagoma vipi?
  7. aviJR

    Msaada kuinstall whatsapp ktk pc

    Random acces memory ni Gb ngap? Kama ipo lower than 2gb forget whatsapp kwa Pc
  8. aviJR

    Msaada: Uhusiano wa transfer ya chuo na mkopo

    KUAMISha mkopo ni kwenda NACTE unaandika barua webyew nacte ndo wana iprocess ..kwenda Helsb maana ukienda helsb wanakwambia nenda nacte ..so hao woote hapo juu naona wanaongea bila kufanya tafiti ..mm nimeenda pale nimepewa maelezo
  9. aviJR

    Kozi mpya NIT hazijulikani HESLB?

    Mm mwwnyew nipo NIT na mikopo kwa Hapo bado inaletwa kwa second lot kwakuwa ndo chuo kinategemea kupata asilimia kubwa ya mikopo kwa wanafunzi wake
  10. aviJR

    Msaada: Nimepata mkopo HESLB 7.8%

    POLE sana ila naomba ujibane maana hapo una MEALS NA ACCOMODATION mil 2.09 per year .so inatosha kukulipia ada kama kweli unalenga Elimu ya Juu
  11. aviJR

    Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

    Kama haujafanya upembuzi wa POLITICS za tanzania kwa hivi vyama vikuu viwili CHADEMA NA CCM basi utakuja na maswali kama hayo kila siku mtoa post ??earnest business not politics anymore
  12. aviJR

    Nimemaliza karibia kilomita 15 hifadhi ya Mikumi sijaona mnyama yeyote.

    Tatzo hamfanyii tafiti .mnapost tu ..angalia hii ni season gani?? Mpka ukutane na wanyama kando kando mwa barabara?? Kwa ushaurii wako kafanye utalii ndani pale ulipie uingie ndani ndo urekebishe thread yako .siungi mkono hoja
  13. aviJR

    Kama confirmation ya chuo UDSM watu wa NACTE hawajapata mikopo ya elimu ya juu je?

    Mkuu ulienda NACTE ipi na saa ngapi?? unapoenda nacte unakuta ushapangiwa chuo mkuu sasa sjui ww umeenda pale saa ngapi?
  14. aviJR

    Kama confirmation ya chuo UDSM watu wa NACTE hawajapata mikopo ya elimu ya juu je?

    Jamn msidanganyane ..kama ulichaguliwa Udsm na mpaka sasa haujaona jina lako basi ujue umekuwa REJECTED na UDSM cha kufanya nenda nacte kaangalie pale kwenye notice board yao kama upo confirmed na UDSM kama jina lko halipo unaingia ndani ya office pale ndo kuna majina na COURSE uliyochaguliwa na...
Back
Top Bottom