Recent content by avic town

  1. avic town

    Namna ya kumtambua mwanaume suruali

    hiyo furaha uitoe wapi wewe, ungekuwa nayo ungekuwa hivyo?
  2. avic town

    Kitendo hatari ulichowahi mfanyia mpenzi wako

    watu wengine bwana sasa hili ni suala la kujivunia kweli? unampigaje mwanamke ambaye hata hujamuoa? wanawake kweli mna kazi yaani mtu hajakuoa then anakupiga, yaani mimi ningekuwa mdada katu nisingekubali kuonewa na wanaume wa aina hii.
  3. avic town

    Wanawake tunakuwa na thamani pale tunakuwa tumevaa nguo

    huo ndo ukweli wenyewe, kama wadada wote wangeweka misimamo y kutojirahisisha kwa wanaume, basi malalamiko mengi yaliyopo mkwenye mahusiano ya wat u kuumizana yasingekuwepo,
  4. avic town

    Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

    naisubiria kwa hamu saaaaaan,
  5. avic town

    Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

    anora its better na ww utushirikishe wht happened to u? it seem now days relationship ni changamoto saaaaana,
  6. avic town

    Mrejesho: Nimepata mchumba, shukrani JF

    thats very posible,
  7. avic town

    Mrejesho: Nimepata mchumba, shukrani JF

    it seem na ww ni kenge thas why unakutana na kenge wenzio,
  8. avic town

    Rafiki wa kike / marafiki wa kike anahitajika

    nimesema mitoko itakuwa mingi so cku nyingine nae ajiandae kuchangia, kwani kuna ubaya gani akichangia ie akinunua hata vinywaji tu jamani loh.
  9. avic town

    Rafiki wa kike / marafiki wa kike anahitajika

    nenda gym upungue unene then come pm
  10. avic town

    Rafiki wa kike / marafiki wa kike anahitajika

    Jiongezw kimo then come pm
  11. avic town

    Rafiki wa kike / marafiki wa kike anahitajika

    Habari ya asubuhi wadau, kama thread inavyosema am a man of age btn 30 and 34 nahitaji rafiki au marafiki wa kike kw ajili ya kudiscuss mamambo ya maisha kwa ujumla na mitoko ya out na kupeana kampani, NB, 1)Sitafuti mke labda itokee tu tumependana tukaamua iwe hivyo 2) in case...
  12. avic town

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    mmh yaani unawaogopa single mothers hao wengine unawajua vizuri? yes hawana watoto lakin wameshatoa mimba kibao,
  13. avic town

    Natafuta rafiki/mpenzi ambae baadae atakuja kuwa mume

    Jaribu tens na tens subira huvuta hero mkuu.
  14. avic town

    Natafuta rafiki/mpenzi ambae baadae atakuja kuwa mume

    Usipojibiwa kuna mengi, mosi huko pm jam no kubwa sana au mtoa mda ameona huna vigezo. So kuwa mpole tu.
  15. avic town

    Moshi wa bangi ukeni

    miss jamani punguza ukali wa maneno duh? hatari namna hii?
Back
Top Bottom