Recent content by Aventus

  1. Aventus

    Breaking news

    Umesoma
  2. Aventus

    Kama ni kweli haya yameandikwa kwenye Quran basi ifike point wanadamu tujinasue katika itikadi hizi. Sio mkristo, sio muislam tuamke.

    Mabikra 72 ni anasa kama anasa zingine, zinaa kuu..uko itakua ni mbingu ya ufuska..utumwa wa ngono. Tafakari kila mwanaume akipewa bikra 72..atawatimizaje mahitaji yake. Hii ni uwongo Haya maswala wanafundishwa toka utotoni so kuua ni jambo la kawaida kabisa kwao..Je ni dini gani hio inasema...
  3. Aventus

    Unatamani kufa ukiwa na hali gani?

    Naombea sana kifo chema, Nikiwa na nguvu zangu, Kifo cha usingizini...
  4. Aventus

    Nimeibiwa milioni 10 stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

    Neno "gari" limetajwa mara ngapi? Wenye D mbili washaelewa
  5. Aventus

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni hatari hakuna pa kukimbilia
  6. Aventus

    Yanga yawasili nchini saa 9 alfajiri wakitokea Afrika Kusini. Mashabiki wamekesha Airport

    Wengine washaweka mkate mkuu, Kila mtu ashinde mechi zake usiwapangie watu..
  7. Aventus

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Daily routine No sugar 50% No red meat 100% No salt 100% No protein 50% Wanasema uzee ni baraka Ila ukiwa mnene wa ovyoovyo unaonekana una umri mkubwa tofauti na uhalisia. Toka 85Kg Mpaka 74Kg Ni bongo tu ukinenepa unaonekana una afya nzuri na pesa. Ukipungua wanashangaa wanahisi unaumwa...
  8. Aventus

    Nauza pikipiki sawa na bure

    Ghairi
  9. Aventus

    Nauza pikipiki sawa na bure

    Jifunze kubalance shobo, Mind your business, tusingefika huku.. Haikuhusu pita kimya, inaemfa atanunua.. Sio kubeza biashara ya mtu.sio tabia njema period.
  10. Aventus

    Nauza pikipiki sawa na bure

    Sawa mwalim wa kingereza.
  11. Aventus

    Nauza pikipiki sawa na bure

    Punguza kuchongoa mdomo, Unajua hata bei ya pikipiki?
  12. Aventus

    Nauza pikipiki sawa na bure

    Kinachokushangaza ni nini? Nyie ndio mnaolewaga hivihivi kuingilia mambo ya wanaume..
Back
Top Bottom