Recent content by autonomius

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mhe. Lema, vazi la msiba ni suti nyeusi na miwani, sio gwanda la CHADEMA

    Niliona kijani kama tatu hv jukwaa LA mbele
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nataka kuwa wakala wa biashara ya magari mtandaoni, naomba ushauri

    Wakuu naomba ushauri ajira nataka nikajaribu kuomba dili kwenye yard za magari niwe natafta wateja kwa kupost picha na specifcation zake ....then nikpata mteja nampeleka wakipatana nakatiwa percent kidogo...maana ajira ngumu...naomba ushauri kwa wenye uzoefu na biashara ya mtandaon......AHSANTEN
  3. A

    JamiiForums Tanzania Aliyechora Ramani ya Dunia yeye alikuwa amekaa wapi?

    alikua capetown anavochora
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    natumia zote au mojawaopo
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    habari dr last time niliuliza swali sijapata jibu hadi leo......narudia huenda leo sitadharauliwa nilifanya mapenz na mpenz wangu after one wiki nikawa nasikia maumivu makali wakat wa kukojoa na na ute mweupe unatoka sehem ya kukojole....pia muda mwngine nasikia maumivu hata bila kukojoa je nn...
  6. A

    JamiiForums Tanzania TCU yatangaza alama mpya kwa mwanafunzi kuingia Chuo Kikuu

    haaaaaaahaaaaaaaa kwahiyo nikidisko ndo byebye nikaaze na diploma
  7. A

    JamiiForums Tanzania TCU yatangaza alama mpya kwa mwanafunzi kuingia Chuo Kikuu

    asa mbona mi nilipata DED... KWA PCB NA NIMECHAGULIWA DEGREE NMEMALIZA 2014......Kwamba inatakiwa nitumbuliwe
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    naomba nijibu dr tafadhali
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    hakuna dalili zaid ya kusikia maumivu na hasa wakati wa kukujoa
  10. A

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    dr habariiii............nilifanya mapenzi after one week naona kichwa cha uume kinauma na ute mzito mweupe unatoka ....tafadhali itakua ni nn??? na dawa gan inapaswa nitumie
Back
Top Bottom