Recent content by AUTOMATIC

  1. A

    Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

    Mkuu Osokoni Kuna issue hapa?
  2. A

    Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

    Mwita Maranya: Vipi yule John Heche Suguta ambaye kwa sasa anaitwa Manchare Suguta (Mwanasheria wa NEMC)? Alijiunga na JWTZ mwaka 2002 mwezi March tarehe 4 kwa mafunzo ya kijeshi nikiwa na maana kwamba alikuwa askari kamili mnamo tarehe 30.08.2002 baada ya kuhitimu mafunzo hayo na kula kiapo...
  3. A

    Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

    Mwita Maranya: Vipi yule John Heche Suguta ambaye kwa sasa anaitwa Manchare Suguta (Mwanasheria wa NEMC)? Alijiunga na JWTZ mwaka 2002 mwezi March tarehe 4 kwa mafunzo ya kijeshi nikiwa na maana kwamba alikuwa askari kamili mnamo tarehe 30.08.2012 baada ya kuhitimu mafunzo hayo na kula kiapo cha...
  4. A

    Kwako mh. Spika, mama makinda: Umetupandishia gharama za muda wa hewani watanzania

    Hili ndo Jambo la msingi la sivyo tutazidi kuchambia majani ya mgomba miaka yote.
  5. A

    Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

    Kubenea....... Ungekuwa ni wewe ungetupatia hadi acc number zao, achilia majina yao ambayo najua unayo kwenye wallet.
  6. A

    Kwako mh. Spika, mama makinda: Umetupandishia gharama za muda wa hewani watanzania

    Huku akijua kabisa kuwa idadi ya wabunge walioitikia hoja ya mheshimiwa wenje ya kutaka gharama za malipo ya muda wa hewani kubaki kama awali ilikuwa kubwa, mama Makinda alidai kuwa idadi ya wabunge walioitikia ndiyoooo kukubaliana na ongezeko hilo walikuwa wengi. Hali hii ilijidhihilisha hapo...
  7. A

    Kwanini wafanyakazi wa mashirika ya umma na serikalini hawapigi kelele sheria ya Hifadhi ya Jamii?

    unabahati nimemaliza ban juzi tu la sivyo ningekupa kitu mpaka ufurahi. pamoja na yote acha kutumia m....buri kuelezea hili. sisi ndo tunaoumia kuliko mtu yeyote.
  8. A

    CCM yaishika Pabaya CHADEMA-RAI

    Ndugu yangu Nchemba wewe umechangia sana CCM kufa. Kwa sasa chama chetu CCM kinaonekana mavi mbele ya wananchi na hapa Arumeru ndo tunaaibika zaidi. Jiandae kwa kashifa ya wizi wa mamilioni ulioufanya wewe na rafiki yako mnayejuana sana. Unajiona kuwa tegemeo sana kwa chama chetu kumbe ni mngese...
  9. A

    Kwa watumishi wa TANAPA

    Yapata mwezi mmoja tangu tusikie juu ya uvumi wa gawio la bonus lakini haiko wazi na inasemekana tutaichukulia bank. Jee hii ni kwa hifadhi zote au wengine watachukulia dirishani? Na ni kwa nini kumekuwa na ucheleweshaji wa namna hii? MKURUNGENZI anajua kama watumishi wamekata tamaa ya maisha?
Back
Top Bottom