Recent content by authjeremmy

  1. authjeremmy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfumo wa Matumizi ya Tarakilishi (Operating System) kwa Lugha ya Kiswahili

    Asante kwa maoni yako ila sijasema kuwa jina la OS lenyewe litakua Swahilinux, Jina la Mradi ndio Swahilinux (Labda sikueleweka) kuna njia mingi za kuafikia jina litakalotumika na ifikapo wakati huo tutakua na jibu sahihi. Natumai kuwa watu wote watatuunga mkono na kuisherekea lugha yetu ya...
  2. authjeremmy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hehehe, Kweli Dar sio ligi ya Mombasa

    Tazama huyu mtanzania 😂 😂 😂
  3. authjeremmy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hehehe, Kweli Dar sio ligi ya Mombasa

    Tazama hapa polisi wanawake wakenya kutoka idara tofauti kisha useme wako na sura mbaya
  4. authjeremmy

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Hivi Waganda wana tatizo gani?

    Mimi mkenya hapa na sijapata kuelewa kinachozungumziwa kuhusu wakenya 😂
  5. authjeremmy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfumo wa Matumizi ya Tarakilishi (Operating System) kwa Lugha ya Kiswahili

    Kwa sasa, Swahilinux ipo kwenye hatua yake ya kwanza kati ya hatua nyingine nyinge, hatua hii, ni tafsiri. Baada ya kuwa na programu za kutosha katika lugha ya Kiswahili, basi tutaweza kuendelea na hatua zingine ambazo kwa sasa tunazifanya ila kwa mchango mdogo. Swahilinux itakuja kama distro...
  6. authjeremmy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfumo wa Matumizi ya Tarakilishi (Operating System) kwa Lugha ya Kiswahili

    Kiswahili ni kimoja, Kiswahili chetu si kibaya, watu ndio wenye kupenda utohozi, ila ukienda pwani utapata kuwa Kiswahili cha Kenya na Tanzania ni sawia. Na ni kwa ajili ya hili ndiyo maana nawaomba muweze kuchangia ili kuhakikisha kuwa tunatumia lugha sanifu.
  7. authjeremmy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfumo wa Matumizi ya Tarakilishi (Operating System) kwa Lugha ya Kiswahili

    Salamu kwenu wote. Jina langu ni Jeremiah Rotich, kutoka nchi ya Kenya. Ningependa kuchukua fursa hii kuwatangazia kuwa nimeanzisha shirika/ mradi linalowania kutengeneza Mfumo wa Matumizi (Operating System) kwa lugha ya Kiswahili. Wengine wenu mnaweza kuwa mnafahamu uwepo wa kilinux...
  8. authjeremmy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yatambue maneno haya kwa Kiswahili

    Hii ni kazi nzuri sana. Naipenda.
Back
Top Bottom