Sawa,lakini mlizipitisha wenyewe. Na je, watu ambao wameishazitumia mtawafidiaje kwa madhala waliyoyapata maana mnasema hazifai kwa matumizi ya binadamu. Tukumbukeni taifa litajengwa na upendo, umoja,mshikamano na amani kwa faida ya watanzania wote Wa sasa hata vizazi vijavyo bila kujali rangi...
R. I. P watoto, tumuombe MUNGU awapokee kwenye makao yake ya milele. Lakini naziomba mamlaka husika kumchukulia hatua kali muuaji huyu ili tabia kama hizi zikome kabisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.