iyo karma inatumika kwa mtu mmoja mmoja au ata kwa jamii nzima kwasababu tumeshuhudia jamii za watu weupe (ulaya na America) wakiiba Mali ka kuua waafrika wengi na bado yanaendelea katika Kila nyanja uku waafrika wakiendelea kua Kama laana duniani
Amaa kweli kosea nyumba Si jiko waswahili walisema, wakati wengine wakipewa moyo na mashauri yenye tija mara baada ya kuyumba kiuchumi na wenza wao Kuna sisi tuliokimbiwa na kudhihakiwa na wenza baada ya kushuka kiuchumi [emoji24][emoji24]
Mimi na swali apo Je ukiwa katika kundi namba mmoja1 kuna uwezekano wa kuhama na kwenda kundi jingine?
Pili kati ya makundi hayo ni lipi lenye mamlaka juu ya kundi jingine
Tatu ni njia zipi ninaweza kuzitumia ili nitoke kwenye kundi namba tatu?
Nawasalimu kwa jina la JF.
Mimi ni kijana undergraduate chuo x
Kama Title inavyo jieleza. Nimejikuta ni mtu ambae NAPENDA sana kuwatongoza mabinti asa wanachuuo wenzangu na kitu cha kushangaza wengi hujikuta wakinaswa na timing Zangu.
Shida inaanza pale tu wanapoanza kuonesha dalili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.