<Kwa Niaba>
MIMI NI MWALIMU WA SEKONDARI MANISPAA YA ILEMELA MKOA WA MWANZA NAFUNDISHA SOMO LA GEOGRAPHY. NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE, YEYE AJE MANISPAA YA ILEMELA NA MIMI NIJE ARUSHA JIJI. MAWASILIANO 0769178228.
Pole Sana ndugu,Mungu akutie nguvu Katika kipindi iki kigumu unachopitia. Usikate Tamaa na maisha, yote mwachie Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha sana, vyombo usika vichukue atua stahiki maana hii haikubaliki kabisa katika jamii. Huyu mwanaume naye aliyefanya Icho kitendo sidhani kama ni mzima akili au ndo tamaa za kijingajinga.
Wala usipate tabu, nenda my profile, then chini click change category then follow the steps. Weka category ambayo ulitaka ww then endelea na application as usual.
Mwenyewe nkwafanyia application madogo zangu kama watatu hv ni mmoja tuu nilipata username na password wametuma kweny email, zingne zimekaa ni siku ya sita hamna kitu kila mara nacheck email kwenye span massage hakuna kitu. IT wa NACTE ni jipu Kwa kweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.