Kuna jeep imekatiza hapa kimara darajani now na hii mvua ndani kuna bint anaendesha na pembeni young wa kiume. Akili yote inaniambia huyu ni careen na BM wanakatiza
Habari? Nipo Dar nahitaji line ya safaricom niitumie kuconnect na paypal. Kwa ambae anauza naomba tuwasiliane
WhatsApp +255759702766
Call: +255769931891
Wakuu kuna hii mix naitafuta sana
watch 2014 Reggae Lovers Rock Vol 1 - DJ ShaRoc
Nona YouTube haipo tena km kuna mtu alidownload nsomba aitume hapa
Thanks
Habarini waku.
Kwa wajuzi naomba kuuliza hivi process na gharama za kupata license kwaajili ya real estate broke, agent au developer zikoje?
Nimepita kwenye website ya wizara ya ardhi lakini sijaambulia chochote.
Thanks.
Mkuu ni mwalimu wa level gani kama upo vizuri course hero tutor utafanya kazi kama frelancer mwalimu bila shida
Kama hesabu zinapanda vizuri hutakosa $700 per month
Habari zenu mafrelancer wenzangu? Dhumuni la uzi huu ni kuhitaji sehemu ambapo tutakutana na kushare ideas, tips and tricks na changamoto mbalimbali kwa wale ambao tunafanya kazi fiverr na upwork.
Mimi binafsi nafanya kazi fiverr full time now nina account 3 ninazozimiliki na kuziendesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.