Recent content by audrey

  1. A

    Rais ateua mshauri wa Diplomasia

    it is true not less than 400 yrs to have a full democracy
  2. A

    Waziri akiri Slaa noma!

    Mimi binafsi nampongeza Dr Slaa kwani ni mtu mahiri asiyeogopa huu ndio muda wa kufichua MAFISADI PAPA NA NYANGUMI
  3. A

    Msaada wa kuondoa promotion sms kwenye TIGO

    kaka pole saaana hii mambo ni ngumu sana hata sisi ambao hatujajiunga zinzkera sana nahisi wewe unakereka zaidi pole bwana ila waone watakusaidia
  4. A

    Mh R Mengi yupo tz?

    nimefurahishwa na michango yenu Mengi katufungua macho nanamwomba aibuke na lingine zito zaidi
  5. A

    Sidanganyiki!

    Hili tangazo nikichekesho tu lakin in reality si kwel. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu flan cha Tanzania ninasoma BA(ED) wakati ninafanya field katika moja ya shule za sekondari Dar nilikutana na kioja kimoja ilikuwa hivi "katika jiji letu tuna tatizo la daladala siku hiyo nilimwomba konda...
  6. A

    Ndugu Mtanzania: Je unajua hili?

    mzee Mwanakijiji sijui Tanzania tunakoipeleka ebu sasa tujaribu Chama kingine tuone mambo yatakuwaje. Let us be risk takers
  7. A

    Waraka: Kanisa Katoliki laandaa waumini uchaguzi 2010

    Ukweli ni kuwaaa CCM sasa bila mabavu hawawezi Sisi tumeshuhudia wenyewe eti kura 862 zimewaangusha CHADEMA hili la wap? ni uongo mtupu Watakoma 2010 shangazi
  8. A

    Waraka: Kanisa Katoliki laandaa waumini uchaguzi 2010

    Shangazi ningekuwa karibu ningekushika mkono utaona mtu mzima akiumbuka.
  9. A

    Waraka: Kanisa Katoliki laandaa waumini uchaguzi 2010

    Jaman Watanzania sasa tumesoma wote tunaweza kuelewa kizuri na kibaya. Mzee kingunge keshaona jinsi mambo yatakavyokuwa kwa CCM mwakani,kama inaonekana Wakatoliki wamekosea SHERIA si zipoo wazifuate. Mimi ninaona anachotaka kufanya nijisi ya kuonekana kuwa na yeye amechangia hoja tu kwanini...
  10. A

    Loveness Love Diva Binti anayekuja juu

    it is true tha Diva you are good hope that you will reach far Congats DIVA!!!!
  11. A

    Mh R Mengi yupo tz?

    mzee R Mengi yupo bwana mwache mzee wetu atufunguwe macho watanzania
Back
Top Bottom