TANESCO MFANYE KAZI KWA WELEDI NA KUJALI MASLAI YA MWANANCH MSIFANYE KAZI KUFURAHISHA SERIKALI.........MNATOA BILL TOFAUTI TOFAUTI KATIKA ENEO MOJA MARA HUYU YUPO REA HUYO HAYUPO REA........LALAMIKO HILI NI KUTOKA KATA YA OLTUROTO-ARUSHA DC TUMELETA MALALAMIKO HAYA HADI OFISI YA MENEJA MKOA WA...
kwa mawazo yako ni shujaa....ila kwa wengi wetu sisi hana jipya ni wale wale tu...............wanataka Nchi kwa tamaa ya madaraka na sio kwa maendeleo.
HATA UKIJA UNAKUJA KAMA MSAFIRI MWINGNE TU ..................HUNA JIPYA LAKUTUAMBIA..............USHAPOTEZA DIRA YA SIASA.......KAWAONGOZE NG'OMBE NA FAMILIA YAKO TU.
Lema asipoteze muda wake bure.....afyte mkia arudi tu Moshi kijijin akalime mahindi.....tunataka maendeleo kwa sasa sio vurugu ambazo hazijengi chochote na kukosoa kila siku ukiamin wewe unajua sana kuliko wengne........jimbo wanachukua CCM na sio Arusha mjin tu bali ni majimbo yote...
HUNA JIPYA.....HIZO KELELE ZA CHURA TU......AJIPANGE KWENDA KULIMA KIJIJINI KWAO...UBUNGE ARUSHA BYE BYE HATUTAKI WABUNGE VILAZA TENA TUNATAKA MAENDELEO SASA
Usihukumu usije ukahukumiwa......Nkurunziza kafanya mazuri yake Burundi.....Kifo ni moja ya ahadi toka kwa Mungu pengine wewe usife hata mchana huu wa leo.......Watch out.
KOSA LA RAISI HAPO NINI SASA,NA SERIKALI IMEJITAHIDI KUCHUKUA TAHADHARI ZOTE? LETE HOJA ZA KUREKEBISHA NA SIO KUMKOSOA RAISI WETU BILA SABABU YA MSINGI.
Jamani kumekuwa na maneno mengi kuhusu utabiri wa TB JOSHUA kuwa lowassa ndie RAISI WA TANZANIA 2015
MWENYE USHAHIDI WA VIDEO AU WA AINA YOYOTE AWEKE HUMU
KAMA HUNA KAA KIMYA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.