Recent content by AudiG7

  1. A

    Wadada wa kazi na visa vyao, nimemtimua wangu jana

    Ndiyo matatizo yenu nyie waajiri wa hawa wadada wasaidizi. Mnapowaajiri muwafundishe namna ya kufanya vitu mbali mbali ndani ya nyumba badala ya kuwaachia nyumba huku wakiwa hawajui mengi kuhusu kazi za ndani. Umekosea sana kwa kumpiga, wewe na mkeo ndio wa kulaumiwa hapa na siyo huyo binti.
  2. A

    TAKUKURU itoe taarifa juu ya Hatma ya Milioni 700 za Manji

    Ulichosema ni kweli tupu Mkuu. Rais kwenye sakata hili yuko kimya, Waziri wa mambo ya ndani yuko kimya, Mkuu wa TAKUKURU yuko kimya. Nchi yetu imeoza tena sana si ajabu hizo pesa za mafisadi wamesharudishiwa wenyewe na huyo aliyekamatwa kishaachiwa huru.
  3. A

    Dr. Slaa: Nikiwa Rais nitamtia Magufuli ndani kwa kuuza nyumba za Serikali

    Hatuna sababu ya kuacha kutumia akili zetu ambazo ni zawadi toka kwa Muumba wetu, wewe unayedumaza akili yako kwa kuamini ulichoambiwa kwamba fisadi Magufuli anastahili kuwa Rais endelea kuidumaza hiyo akili...
  4. A

    Nilizaa nje ya ndoa, nitahalalishaje hili suala?

    Nenda kamwambie kwamba pressure aliyokupa ya wewe kumpa ujauzito ilikutia hofu kwamba labda nawe una matatizo huna uwezo wa kujaza mimba hivyo ulicheza nje na bahati nzuri ukampa mimba huyu binti hivyo kuthibitisha uko fit. Sasa uko tayari kumchukua mtoto na unataka amlee kwa upendo wake wote...
  5. A

    GE2015 Lowassa: Je, alikosea wapi? Akiamua kuendelea, arekebishe wapi?

    Hawajazaa tu tangu alipotwambia kwamba wako 800? Kaibu mwaka sasa tangu atwambie kwamba ana ng'ombe 800
  6. A

    Dr. Slaa: Nikiwa Rais nitamtia Magufuli ndani kwa kuuza nyumba za Serikali

    Anastahili kufungwa huyu Mwizi na fisadi, na hili lisemwe kwenye kampeni nchi nzima na kuna ushahidi wa kutosha kuhusu wizi na ufisadi wa huyu fisadi na ushahidi uwekwe hadharani wakati wa kampeni nchi nzima.
  7. A

    Kikwete aliitwa chaguo la Mungu, leo yanajirudia kwa Magufuli. Nini kilimfanya Kikwete ashindwe?

    Iliwahi kusikiliza hotuba ya Baba wa Taifa aliposema Watanzania wanataka maendeleo, wanataka mabadiliko, Watanzania wamechoshwa na rushwa, Watanzania wamechoshwa na ufisadi yao kama vyote hivi wasipoviona, wasipovipata ndani ya CCM wataenda kuvitafuta nje CCM. Unadhani Mwalimu hakuona tatizo la...
  8. A

    GE2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

    Kweli kabisa Mkuu. Mdaku maarufu wa JF katika ubora wake.
  9. A

    Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

    Acha kuwafuatafuata wanawake na mavazi yao. Kama hutaki kuwaona waliovaa nguo fupi basi ukiwaona angalia pembeni au fumba macho yako. Watu wengine banaaa mnapenda kufuatilia mambo madogo madogo yasiyowahusu hata chembe.
  10. A

    CCM ilipofikia imeshachoka tayari, dawa kuipumzisha na kuleta chama kingine kiingie madarakani

    Tatizo kubwa la Watanzania wengi ni ujinga. Eti kwa kuteuliwa Magufuli wamesahau kashfa zote kubwa ambazo zimeligharimu Taifa matrilioni ya shilingi. Wanasahau baadhi ya kashfa ambazo zimeligharimu Taifa pesa chungu nzima baadhi zimesababishwa na fisadi Magufuli ikiwemo uporwaji wa nyumba za...
  11. A

    Dr. Slaa nakushauri pumzika, Urais sahau

    Tangu lini chama cha siasa kikachagua yule anayestahili kugombea toka upinzani? Mnaogopa nini kwa kutotaka Dr Slaa asimame kama mgombea wa UKAWA? Kama hana mvuto si ndiyo mtapata ushindi wa kirahisi na wa kishindo? Naona mmeanza kuweweseka mapema katika juhudi zenu za kumpiga vita Dr Slaa kwa...
  12. A

    Kikwete hakuna wa kumfananisha nae katika historia ya taifa hili

    He is a big failure. He wasted so many opportunities to steer the country to the right direction .
  13. A

    The Suite at Burj Al Arab - Dubai

    Hata ukifanya booking utawekwa kwenye waiting list ndefu, pamoja na gharama kubwa za kulala kwenye hiyo suite kwa siku lakini demand yake ni kubwa sana kutoka kwa wateja mbali mbali duniani.
  14. A

    UKAWA isubiri 2025, Hawawezi shindana na Magufuli.

    Wewe kweli hujitambui. Hivi unajua kwamba uchaguzi wa Tanzania si huru na si wa haki? Kama unajua hivyo kwanini kujitoa ufahamu na kuandika yasiyo na mashiko? Kama hujui unaishi chini ya ardhi hujui yanayoendelea ndani ya Tanzania kuhusu uchaguzi na pia maoni ya katiba tunayoitaka Watanzania...
  15. A

    Kikwete hakuna wa kumfananisha nae katika historia ya taifa hili

    Kama huwezi kuandika mema basi tuandikie mabaya aliyoyafanya maana yapo mengi tu.
Back
Top Bottom