Recent content by audaxia

  1. A

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    Kwa mara ya kwanza huu uzi umenigusa sana pia umenibariki na nimefarijika sana
  2. A

    Happy birthday @Dikembe

    Happy birthday jembe
  3. A

    Shamba Kwa mwenye Mahitaji ya Kujiendeleza (Kigamboni) Bure!!

    Kwanza nikushukuru kwa moyo wako wa ukarimu kwa maana wenye roho kama yako ni vigumu kukutana nao kwa dunia hii ya leo!
  4. A

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Unamfahamu aliyeanzisha hii mada?
  5. A

    Andika namba mbili za mwisho za simu yako

    17 both tigo and voda
  6. A

    Mambo Kumi Unayotakiwa Kuacha Kabla Hujaingia Mwaka 2015

    Yaani hapo umetupata ni kweli na mwenye macho haambiwi tazama!
  7. A

    Yamenifika sijui nichukue uhamuzi gan msaada wa mawazo ninaitaji

    Usimpe alikuwa wapi kipindi chote hicho?
  8. A

    Natafuta kazi iliyo ya halali

    Mimi ni kijana wa kike, elimu yangu ni ya chuo kikuu (BSc in chemical and process engineering 2010 UDSM) nina uzoefu mzuri na mambo ya quality control hasa kwenye viwanda vya chakula. Kazi sio lazima iendane na profession yangu! Kama kuna mtu anay3jua sehemu kuna chance anitaarifu kupitia PM...
  9. A

    Sirudi nyuma

    Mr Malila please naomba contact zako!
Back
Top Bottom