Hvi ww mtoa mada naona una mapungufu ya akili kwanza kwenu wap acha upuuzi ulitaka aweke wap hzo taa wakat hzo zinawekwa na halmashaur heb wivu wa kipuuzi na ushabik usiokuwa na maana...
nihurumia anashndwa hata kuonyesha ishara ya vidole viliwi juu kwa nguvu dah mzee huyu anatia hurumu siyo siri na hata hatma yake itakuwa vp endapo kama akishndwa uchaguzi huu
Dah kweli jf kuna watu wanafaa wapewe vyeti na ww pia kinakufaa kuwa mwanafunzi bora yaan tang 2011 had leo ndo umehitmu hongera sanaa inabd ufunye na graduation....
Dah kweli jf kuna watu wanafaa wapewe vyeti na ww pia kinakufaa kuwa mwanafunzi bora yaan tang 2011 had leo ndo umehitmu hongera sanaa inabd ufunye na graduation kabsa...
Nimefurahi walau umebadili mada dah maana ni siasa tupu nw mpaka inachosha sasa.. Swala lako naona hapo baadhi ya makocha huchugua wachezaji jinsi watakavyo wao ila c ubora wa mchezaji hili ndo linaifanya timu yetu ya taifa kuwa hvi mpka sasa kwa sabab ya upuuzi wa baadhi ya makocha wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.