Recent content by aubasi

  1. A

    Taarifa kwa Umma: Kanusho la kuzuiwa behewa za SGR Ujerumani

    Hahahahahahaha nyie ji shaueni tu!!!!
  2. A

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    Mmmhhh huu ni uongo....huu ni uongo Bwana!!! Acha uongo usaidiwe mawazo!!!
  3. A

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    Nilikua na Mwanamke , nikamtolea mahari kama wewe ulivyotolewa. Tukabahatika kupata watoto wawili. Tumeshindwa kukaa pamoja kwasababu ya tabia na mienendo michafu ya huyo mwanamke. Akang'ang'ania kukaa na watoto nikamuachia....lakini haikuchukua round watoto nao wakaanza kumkataa kutokana na...
  4. A

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    Kama sababu ni tofauti....meaning Mnaweza kuongea yakaisha kuliko kutaka kujiabisha.
  5. A

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    Ujue nyie wanawake kinachowaponza ni ubestie....yani unakuta umeolewa vizuri tu....lakini marafiki zako ukaona wao ni wa muhimu kuliko mumeo au familia yako. I mean,....kujazwa na maneno na marafiki...kisha unaanza kudharau Ndoa yako....kutomheshimu mumeo...uzinzi wa wazi kabisa. Afu ujue ...
  6. A

    Maisha mazuri ni kuishi katika utakatifu tu

    Ni vigumu sana kuishi maisha matakatifu pasipo kuwa na MAARIFA, UFAHAMU na HEKIMA. Na ukisema kuwa kuishi kitakatifu ni kutokutenda dhambi. Ni Sawa na kujidanganya mwenyewe na tena bado unakua haujaijua kweli.
  7. A

    Mtafute Mungu maadam anapatikana

    Kwani wewe huwezi tu kusema anapopatikana kama ushampata utuambie tuteleze kwenye ganda la ndizi.... #Ninachojua Mimi Mungu sio mchoyo Acha uchoyo Blaza...tuambie na sisi nduguzo
  8. A

    Afisa Elimu Msingi (W) Magu, rekebisha uongozi wa Shule ya Msingi Magu

    Cc. Afisa Usalama wa Wilaya, Takukuru Wilaya, Mkurugenzi wa Wilaya, DHRO
  9. A

    Kwanini Serikali haipigi marufuku uingizaji wa mitumba?

    Nauza mitumba grade one...mtumba wa nguo za mashuka. Pure cotton, King-size....yanakua mashuka mawili na foronya 4. Mashuka ni makubwa sana afu mazito. BEI kwà kila pair nauza 70,000. Belo lake linauzwa 960,000/= , ni la kilo 45. Ndani zinakaa 25 pieces. Ni mashuka ambayo hayajalaliwa. I...
  10. A

    Kwanini Serikali haipigi marufuku uingizaji wa mitumba?

    Mijitu mingine ina roho mbaya ka nini yani...sasa Serikali ikipiga marufuku sisi wauza mitumba tutauza nini? Kama huna kitu cha kupost...si uwege msomaji tu? Hili jamaa linajifanya lijuaji sana. Afu humu jf tushakuchoka na sera zako za ajabu ajabu!!!!
  11. A

    I was born not only to fight against corruption but also to liberate Africa

    Sio kweli. Hii ni ajira kubwa sana. FEDHA zetu zote lazima zisainiwe na Gavana pamoja na Waziri wa FEDHA.
  12. A

    I was born not only to fight against corruption but also to liberate Africa

    Hahahahha Unajua nacheka nini....Hii kitu ni Maajabu...hahahahah... Mimi hapa unavyoniona, na umri wangu huu , tangu nizaliwe Marais niliowahi kuwaona kwà macho na kwà ukaribu kabisa ni... 1. Mwalimu Julius NYERERE Nakumbuka nikiwa form one...alikua akitualika kwenda kulima katika shamba...
  13. A

    I was born not only to fight against corruption but also to liberate Africa

    Nimesoma zaidi ya combination 7 wakati nikiwa high school. Na zote nilizisoma ndani ya mwaka mmoja. Combination ya nane ( ambayo ilikua na pure mathematics ndani yake) niliisoma kwà miezi mitatu tu na nikafaulu kuingia chuo. Kiufupi...high school niliisoma kwà kuungaunga...coz kila baada ya...
Back
Top Bottom