Maisha mazuri ni kuishi katika utakatifu tu

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
17,905
45,333
Hakika nikijiangalia kipindi changu cha Majira ya upofu ambapo nilikuwa sijaamua kuishi katika Maisha ya utakatifu. Naona mabadiliko makubwa sana.

Nchi ya ahadi ni nzuri, imejawa na asali. Nauona mwisho wangu ukitamatika katika haki na kweli.

Vijana mtafuteni Mungu wa kweli acheni kuishi katika uchafu.

Ukweli ni kwamba, Mungu ni mkubwa, amefanya njia katika maisha ya watu wengi.
 
Mkishapigika ndio mnajiita watakatifu, Mimi nasubiri ushuhuda wa watu kama Bakhresa, Mo Dewji na watu wasiokuwa na njaa ndio waje kunihubiria utakatifu, lakini siyo illusions za mtu anayesumbuliwa na njaa na madeni.

Unahitaji kupata utakaso kutoka kwa Watu wa kiroho maana kama hauna hofu ya Mungu hauna tofauti na Mnyama.
 
Itoshe kusema unaisha maisha yako halisi na si ya kuiga iga. Hayo ya usafi ni misemo tu.
Kuna code kama Binadamu unabidi kuzizingatia .

Kuna testimony ambazo niko nazo before and after my Delivelensi
 
Ni vigumu sana kuishi maisha matakatifu pasipo kuwa na MAARIFA, UFAHAMU na HEKIMA.

Na ukisema kuwa kuishi kitakatifu ni kutokutenda dhambi. Ni Sawa na kujidanganya mwenyewe na tena bado unakua haujaijua kweli.
 
Ni vigumu sana kuishi maisha matakatifu pasipo kuwa na MAARIFA, UFAHAMU na HEKIMA.

Na ukisema kuwa kuishi kitakatifu ni kutokutenda dhambi....ni Sawa na kujidanganya mwenyewe na tena bado unakua haujaijua kweli.
Knowlege
Itakupa vitu vingi ikiwemo humbleness- unyenyekevu
 
Mkishapigika ndio mnajiita watakatifu, Mimi nasubiri ushuhuda wa watu kama Bakhresa, Mo Dewji na watu wasiokuwa na njaa ndio waje kunihubiria utakatifu, lakini siyo illusions za mtu anayesumbuliwa na njaa na madeni.
Kwa umri wako na ulivyo simtu wakuzungumza huu ushuzi wako hapa.
 
Back
Top Bottom