Nimekutana na viliio vya baadhi ya wakazi waliokuwa nje kidogo na mji wa Dom wakilalamikia CDA CAPITAL DEVELOPMENT AUTHORITY kupima viwanja vyao na kuwapokonya ardhii. Unaambiwa wafanyakaz wa CDA wanaviwanja sana na ni matajiri hata ukipita nje ya ofisi zao utaweza gundua hilo.nikajiuliza je hii...
Hakuna kitu kikafanyika bila kutokea upuuz, nakumbuka ancle aliniambia moja ya sababu za kusitisha kupeleka wanafunz jkt ilikua ni maambukiz kwa wanafunz kuongezeka..nilitegemea haya kutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.