swala la kazi na mahusiano ya mtu wapi na wapi, kwa hiyo uogope kufanya kazi kisa kampuni inaweza kufungwa mda wowote huu ni ujinga, kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake, Best wishes Wema!!
duuh kwan hii course ulilazimishwa kuchukua, na ujafanya field mpaka usijue sehemu ya kuajiriwa, hapo tafuta mtaji tu uje uchonge vinyago utaitendea haki course yako ukisubiri kuajiriwa jua la utosi litakuwa lako..!!!
Ina maana uongozi wa hostel haupo na hamna ulinzi binafsi ktk hiyo jumuiya, hata mm swali langu hilohilo hapo polisi waweke sungusungu au wawe walinzi wa hostel???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.