Ni laana usilalamike nanukuu mwanzo 3:14-24
"Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”
Kweli unabii unatumia. Tazama kila awazalo mwanadamu ni ovu na kamwe mwanadamu hatoifanya Dunia ikawa sehemu salama
Vyombo vya ulinzi vituletee hiko kikundi maana utekaji ulifanyika mchana kweupe
Mkuu wa nchi alisema ni Drama
Speaker wa bunge alisema hakuna utekaji nchini
Vyombo vya...
Chuki chuki chuki. ulitaka Diploma afya walipwe kiasi gani ndio ufrahi by the way basic salary ya kozi za afya diploma ni TGHS B 740k na mwalimu ni 840k if not mistaken ukiwa unawasilisha hoja jaribu kuweka kando chuki uliyonayo dhidi ya watu wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.