Recent content by Atomic orbital

  1. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Dula nae kashusha contena lake ni humu tu
  2. Atomic orbital

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki zangu wengi wenye umri wa miaka 35 mpaka 37 ndoa zao zimevunjika nyingine zipo ICU

    Taasisi ya ndoa haishemiwi kama zamani ,ni kazi ya mme kupenda na wajibu wa mke kutii tofauti na hapo ndoa itapitia misukosuko mingi
  3. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania Sakata la Wasafi Festival Mbeya, ishu sio sakata la PDiddy ni CCM. Wana nafasi bado ya kujirekebisha

    Watu wamekurupuka na negative comments Kwa watu wa mbeya bila kufuatilia na kujua chanzo Cha tatizo
  4. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania Dkt. BITEKO na EWURA, Zuio la kuwauzia mafuta wateja wenye dumu (gallon) linaleta maafa vijijini kwa wakulima wanaotumia mashine za diesel na petrol

    Ni Kwa wananchi wote au CCM Wana special case ukitoa kadi ya chama unapata huduma ...waziri piga spanaaaa
  5. Atomic orbital

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

    Ni mtazamo wako sikupingi. Je Ni wewe unaetupa pumzi ya uhai? we ndio unaamua nani azaliwe nani afe? Wewe ndio umewaweka samaki ziwani ?
  6. Atomic orbital

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

    Ni laana usilalamike nanukuu mwanzo 3:14-24 "Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”
  7. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania Mrisho Ngasa: Taarifa za kushindwa kumaliza kuku mzima ni uzushi

    Hizi story sjui zilikuwa zinatungwa na nani na Mimi niliaminishwa hivyo miaka ya 2010
  8. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania Roma Mkatoliki atoa povu: Raia wajibikeni Wasanii sio wajibu wao kuleta mabadiliko

    Kweli raia wakiacha kutoa support Kwa wasanii na kutoka front itasaidia sana
  9. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania Kwa tukio la kuuliwa Ali Kibao nawatetea polisi.Ni kundi lenye nia mbaya na nchi

    Kweli unabii unatumia. Tazama kila awazalo mwanadamu ni ovu na kamwe mwanadamu hatoifanya Dunia ikawa sehemu salama Vyombo vya ulinzi vituletee hiko kikundi maana utekaji ulifanyika mchana kweupe Mkuu wa nchi alisema ni Drama Speaker wa bunge alisema hakuna utekaji nchini Vyombo vya...
  10. Atomic orbital

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mlioanzisha mahusiano humu ndani kwa mbwembwe na baadaye mkaachana, mko wapi?

    Wacha makasiriko
  11. Atomic orbital

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuoa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, aisee najuta indeed!

    Wasubhati gani hao walogi
  12. Atomic orbital

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

    Unaongea hivi ukiwa kama nani
  13. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Wakuu Kinacho kunyima amani usikifanye kiwe karibu yako, Kama hakiwezi kuondoka, Basi hakikisha Unaondoka Wewe.
  14. Atomic orbital

    JamiiForums Tanzania Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

    Chuki chuki chuki. ulitaka Diploma afya walipwe kiasi gani ndio ufrahi by the way basic salary ya kozi za afya diploma ni TGHS B 740k na mwalimu ni 840k if not mistaken ukiwa unawasilisha hoja jaribu kuweka kando chuki uliyonayo dhidi ya watu wengine
Back
Top Bottom