Me nafkili hili swala ungechaa chini wewe na serikali yako ukapata mwafaka mambo mengne hayahitaji ushauri lbd kam umetaka tujuwe kwamba unakula mke wa mtu
Kwani usomi ni kitu gani mzee si ni maharifa tu alibert eansten aliwahi kusema akili ni uwezo alionao mtu bila kuhusisha maarifa ya darasan
Kuna watu katika jamii wana elimu lakin uwezo mdogo kiakili
Pia kuna watu hawana elimu ila uwezo mkubwa wa kufikili na kupambanua mambo
Watu wenye...