Mnaodisi simu za tecno kuwa zinatumia machip cheap ya Mediatek mbona hamsemi kuhusu kuhusu tecno p3 inayotumia Qualcomm SoC ikiwa na MSM7225AB cpu, adreno 200 gpu?
Pamoja na kuwa na chip hii still inauzwa bei rahisi !
jamaa katoa mchango wake, mimi nafikiri ni lazima sisi kama cdm tuangalie ni nini cha kufanya ili tujikwamue, vinginevyo mambo ni yale yale! nafikiri tungegomea hizi chaguzi kushinikiza mabadiliko kwenye daftari la wapiga kura ingekua ni kete ya maana!
Hata hivyo kitendo cha tume kuweka sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.