Recent content by Atlantis Voyager

  1. A

    JamiiForums Tanzania 1zz vvti engine rattling noise msaada

    ndio natafuta fundi mzuri lambardi fundi nilionao naona kofia inawazidi kimo, yaani gari wana fanya trial and error.
  2. A

    JamiiForums Tanzania 1zz vvti engine rattling noise msaada

    Kuna gari 1zz engine vvti inatoa mlio ambao unaonekana ni kama unatoka ndani ya engine na sio nje kwenye mkanda, tensioner imenunuliwa mpya, vvti sensor inaonekana iko vizuri tumetoa chujio,Timing belt haijavutika bado iko vizuri, Anahitajika fundi mwenye akili na aliyewahi kutatua tatizo la...
  3. A

    JamiiForums Tanzania PPP's Kujenga Mabweni/Hostel: What am I Missing?

    Hapa kuna.maneno mengi lakini kwa wabongo walivyo kutakuwa na upigaji mkubwa. PPP si ndio ilitokea kati ya Udsm na Mlimani citu holdings mkataba wa kikabaila. CBE kwanza prof Teddy Luoga angesafisha mfumo wa wanafunzi kupata matokeo na vyeti vyao kuna urasimu mkubwa , uzembe wa watendaji hasa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo cha CBE Dar es Salaam hakajapeleka matokeo yangu NACTEVET ili niombe AVN

    Katika chuo kinaongoza kwa uzembe na utendaji mbovu hasa kwenye suala la matokeo ya wanafunzi ni CBE Kuna binti alisoma hapo miaka 2 iliyopita anaenda kufuata matokeo anaambiwa matokeo yake yamepotea kwenye system. CBE inabidi inunue system ya computer mpya na yenye uwezo wa kuhifadhi, kuonesha...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Maonyesho ya Kijeshi siku za sherehe ni mambo yamepitwa na wakati na ni hatarishi

    Una mantiki sana kwa ujumla hizi sherehe zote ni matumizi mabaya ya rasilimali. Wangeyapotezea tuu ikawa tv zinaonesha historia watu wanapumzika nyumbani basi. Dunia iko kwenye AI na technological na bilogical weapons na sio kujazaia biceps kuvunja matofali. Hebu ingia you tube angalia best...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Tunisia nchi tajiri Afrika, hairuhusu hijab, kwanini?

    Kiongozi wao Habib bourgiba alichangia hili la kuwapa haki sawa wanawake ya kumiliki mali, Ndoa kwao zinavunjwa ikibidi wanandoa kuhitilafiana, Wako more liberal muslims zaidi ya Uturuki. Kuna wanawake wengi waliolewa halafu wakatibua ndoa ili kupata equal share of asset and property hii ni...
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Safi kama wamerekebisha hatuwachukii bali tunatoa critique ili waboreshe zaidi maana ni chuo kilihitajika kiwe bora zaidi kwa masomo ya biashara.
  8. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Yale matatizo haswa ya uwekaji kwa wakati na usahihi wa matokeo ya wanafunzi bado ni changamoto sana kwa chuo hichi na kuna hawa wanaoitwa Head of dept wamekuwa ni kama wanajilazimisha kufanya kazi zao Very unproffessional kwa kweli kama una mtoto ni bora umpeleke IAA au IFm, au NIT vyuo...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)

    Hongera sana Prof Lwoga. Tafadhali shughulikia au fumua watu wanaoitwa HOD hawsaidii kabisa kutatua tatizo la matokeo ya watoto wanafunzi, wamegeuka miungu watu wanakosesha vijana kusoma vizuri. Hili swala la matokea hayajapanda kwenye system ya mtandao ya cosis, hawana emotional intelligence ya...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Wachukulie hatua wanajeshi wanaofanyafanya vurugu mitaani-Hii ni aibu isiyokubalika hata kidogo!

    Ifike wakati sasa serikali kuu ione umuhimu na hatua za mapema za kupanga mji wa kawe, huu mji wa kawe umekuwa shagalabagalah ingependeza barabara ingepanuliwa kwa kuvunja nyumba na maduka yote yaliyojenga ndani ya barabara, kupanua njia za mitaa. Sababu kubwa ya kilichotokea ni marehemu kanali...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Hizo lazi tayari zina watu sasa wewe kama mtu wa nje huna refa kupata au kuomba ni kupoteza muda
  12. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Nikiwa kama mzazi wa binti anayesoma chuo hicho kuna mapungufu nitayabainisha kwa nia ya kusaidia mkuu wa chuo na director of undergraduate studies wayachukue wayatatue 1. Kuna shida kubwa ya ratiba za vipindi yaani mtoto anaondoka asubuhi anarudi usiku na ukitazama hapo katikati kuna gap kubwa...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Misri ni jangwa 96% lakini Inaongoza Afrika kwa kuzalisha ngano, maembe, nyanya, machungwa, zabibu, viazi nk. Waafrika Tunajifunza nini?

    Egypt wana akili kubwa na wamepata civilization before christ 11 AD. Mambo ya management tuu akina Fredrick Taylor marekani karne ya 18 egypt tayari kuna management iliyojisimika miaka zaidi ya 8000 iliyopita. Halafu sio wavivu. Angalia education system yao, angalia road netowrks zao kuna...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa kuandika proposal report hasa za mambo ya entertainment business

    Anahitajika mtaalamu wa kuandika proposal kwenye entertainmnet business. Pm hapa tuanzie hapa platform kubwa hii Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
  15. A

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha kumsifu Hayati Magufuli cha Malawi kimeandikwa kwa mashinikizo ya Polepole, ndiyo maana akahamishiwa Cuba

    Sio kweli kama ilisikia raisi msomi wa malawi Lazarus Chakwera speech aliyoitoa wakati wa kumuaga JPM utaelewa elites and academicians wa malawi wana mtazamo gani juu ya hayati JPm Waafrika wengi na duniani walioenda JPm alivyokuwa anabana matumizi ya umma na kusimamia miradi, utumbuaji majipu...
Back
Top Bottom