.........sio rahisi arsenal kuchukua kombe hili, arsenal angechukua kombe hili endapo angemeet vigezo viwili tu, moja ilitakiwa awe kileleni kablabya siku ya leo, mbili ni endapo siku ya leo angemaliza ligi na man city ili dhamana ya kufunga iwe yake na sio kutegemea timu nyingine isiyo na...
........kuna ukweli kwa kiasi kikubwa katika hili, hatupendi kucheat lakini hatupendi kuwa masikini, labda tuwe na hela na pia tushike dini ingawa inadaiwa kuwa tajiri kuuona ufalme wa Mungu ni kama ngamia kufanyaje sijui........
.......hakuna furaha ya kudumu ktk maisha ya mwanadamu, na hii inathibitisha kuwa dunia si mahali pa makazi ya binadamu, ni sehemu ya kupita tu, furaha ni ya vipindi na muda mfupi kwa ajili ya kumtia moyo mwanadamu na ili kuongeza ladha na thamani ya maisha.......
........Kwa hiyo furaha hiyo...
.......wahusika wakuu wa hili swala ni sisi men, asilimia kubwa ya wanawake huwa wanajaribi kupambania tooth and nail kuhakikisha mtoto anakuwa salama, ni nadra sana mama kumtelekeza mtoto.......
.......hongera Kwa kutimiza lengo lako, ukawe mchapakazi na muaminifu ktk chama, kama upo serious unaweza fikia au kupata nafasi kama za akina Jokate, best wishes.......
.......mkuu usishangae sana, kwakuwa changamoto nyingi, ziwe kubwa au mdogo zinatatuliwa Kwa pesa so Kwa majority tunaoishi below standard unakuta tunashindwa kuafford hata basic needs daily.......
........sasa sio rahisi wewe kila ukisalimiwantoka asubuhi unajibu mbaya, unakuwa ama...
........huko kukosa kwake sauti ndo kunaongeza tatizo au kuzua maswali zaidi, ina maana hisa za wanachama zinaweza kuwa hewa au tunaweza kuquestion upatikanaji wake kama mwenyekiti, lakini ukiachana na Ngungu boy je wanachama by themselves wanaweza kufanya kitu eg kugomea kwenda uwanjani au hata...
......sijajua ni ipi nafasi ya mashabiki na wanachama hai wa simba katika kuamua mustakabali wa timu, au wamnachukuliwa kama mazuzu tu means hawana impact, baada ya Ferguson kuondoka na timu kuyumba familia ya Glazer imekuwa kwenye pressure kubwa, na jitihada zao kupambania timu zinaonekana...
....... kwakweli lundenga alistaafu na miss Tz yake, toka aachie hayajawahi kuwa na mvuto, huwa nadhani alistaafu kutokana na mamiss wa miaka ya 2000s kuendekeza skendo kutokana na umaarufu wanaopata.......hivi huyo wa 95 si ndo alishika taji la miss Tz akiwa form 3!?.......
......sishangai sana kama ni mkopo wake wa kwanza, atakaa sawa tu baada kusota kumaliza mkopo, wakati mwingine tunajifunza vitu kwa gharama kubwa ya pesa na maumivu.....
.........nadhani wameainisha vizuri tu kuwa jina lao jipya litaanza kutumika tarehe 12-4-24, cha kujadili labda je kubadili jina kutaendana na mabadiliko tarajiwa ya kuwa huru kweli, tusubiri tu......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.