Recent content by Atlantic Star

  1. Atlantic Star

    Mabro na swali

    .......shida ni kwamba ingetokea mke anagombana na mashemeji ungekuja tena na uzi kama huu kuuliza tungefanyaje, leo wanacheka pia ni tatizo......
  2. Atlantic Star

    It’s my birthday today

    .......hongera bibie, unazima mishumaa mingapi!!.....
  3. Atlantic Star

    Hivi kwani Mungu anajibu maombi mabaya?

    ..........ilikuwa ni ajili ya kitoto ndo maana ulimuombea kifo, sasa tumekuwa lakini nakiona bado una hasira na kisirani na hii ndo shida kubwa itakayokutafuna kiroho na kimwili, nenda church katoe sadaka na maombi maalum ya kutoa roho chafu.......
  4. Atlantic Star

    Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo

    .......kwanza hongera zao kwa kuwa na mikakati ya ndoa, zifuatazo ni assumptions 1. Kijana wenu ana malezi mabovu na hivyo Hana haiba ya ndoa au kuwa baba 2. Binti amempenda ndugu yenu kwa dhati yupo tayari kwa ndoa kitu ambacho ni opposite Kwa mwezie 3. Distance relationship haijawahi kumuacha...
  5. Atlantic Star

    Wanawake mna haki ya kutopenda Wanaume wafupi

    ........daah! dharau zomezidi sasa, ngoja nianze kurefuka tu.....
  6. Atlantic Star

    Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

    ........au ndo ile wanasema kiki, mmojawapo anataka kuachia EP, enewei leti asi weiti fo ze bigi iventi...,....
  7. Atlantic Star

    Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

    .......so unamaanisha ni swala la muda tu, kataa ndoa watazoa point tatu muhimu......
  8. Atlantic Star

    Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

    .........ndoa ni jambo jema kama ni zao la matamanio ya mioyo yote miwili, ila kama zao la pressure kutoka upande mmoja basi ujue mnakaribisha stress mpya kwenye maisha, all in all hii ni habari njema so hongera kwao.........
  9. Atlantic Star

    Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

    .....nadhani kapata fununu, kaamua kwenda kupima DNA kakuta mkeka umechanika kwa watoto wote, ili kuepusha kifungo cha maisha ameamua kula unyoya kimyakimya.....
  10. Atlantic Star

    Wanawake Rombo waogopa kutembea peke yao bila waume zao wakihofia Nyani, ambao 'huwakonyeza'

    .......dunia inabadilika sana hawa nyani wameanza kujifunza tabia za hovyo, imagine unapita hilo eneo na mkeo then waanze kumkonyeza, sio kitu kizuri kabisa, mamlaka zilitazame hili.......
  11. Atlantic Star

    Wanawake Rombo waogopa kutembea peke yao bila waume zao wakihofia Nyani, ambao 'huwakonyeza'

    ......asilimia kubwa ya nyani na baadhi ya nyoka wakubwa huwa wanadharau mwanamke, lakini hiyo tabia ya kukonyeza ni ya kishenz sana, wanatakiwa kudhibitiwa haraka sana.....
  12. Atlantic Star

    Kauli ya Ahmed Ally baada ya droo Kombe la Shirikisho Afrika

    .......hata kama simba inatazamwa kama ni kikosi kipya lakini kwa time hizi inapaswa japo kuvuka hatua ya makundi, failure to do so lawama watastahili......
  13. Atlantic Star

    Mwisho wa tetesi au mwanzo wa breaking news?

    .......baada ya kutoka patupu, acha nione koments huenda nikaambuliapo chochote!!!!!......
  14. Atlantic Star

    Live Bungeni: Kukosekana kwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Kumepelekea Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Kukosa Impact?

    ......akina halima hawajaamia tu kuisimamiaa serikali kama zamani, sio kwamba wenzao wamewakatisha tamaa kihivyo, shida ni kuwa hao kovid 19 ni kama wameona serikali ndo mtetezi wao kuendelea kuwemo bungeni, so kuna namna kama ya kuona haya kuhoji na kuuliza mara Kwa mara, unaweza kuona hata...
  15. Atlantic Star

    Mpaka sasa unamshukuru Mungu kwa jambo gani kuu alilokutendea maishani mwako?

    .......hongera na pole sana mrembo, tupe briefing ni kipi ulipitia na uliwezaje kutoka salama ktk hiyo zahama.....
Back
Top Bottom