Kuna MTU nataka nimsomeshe ila uwezo wangu wa kumlipia ada usizidi 1,500,000 kwa yeyote anaejua shule yenye gharama ninayoiweza kuimudu anisaidie nitafurahi zaidi ikiwa ndani ya Dar
Daaaaah kweli ayseeeee mwaka jana mwezi wa 10 nilapata uo mtiani ,,nilikuwa na kiasi kidogo cha fedha 3M malengo yangu nikaanze kununua tofali kwanza alafu mambo mengine yaendelee, mchumba wangu alinishauri niache kununua tofali ela yote niingize kwenye biashara , mwanzo nilimpinga nikaona ngoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.