Recent content by Atanaye

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kupoteza Kesi ya Madini ya Nikeli Kunagharimu Taifa dola milioni moja kila mwezi

    I think the attorney General is acting in the best interest of the country by appealing the case, as he seeks to uphold the rule of law and protects the rights and safety of the citizens amd rocover its monies. Think about the money it would save us if he wins the case? TZShs. 309 bilioni. In...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kikwete: What a shame to talk about ox- ploughs now!

    Yale yale: kukurupuka na kukimbilia nyenzo ambazo hatuna uwezo adilifu. Nitakubaliana na Mheshimiwa kwa upande upande na wakati huo huo nitapenda kukemea kujisurutisha na kuwaweka wakulima wadogo katika madeni ambayo hayataweza kumsaidia kwa mda mrefu. Kauli kama hiyo, ni kukaribisha madeni, na...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mr Bernard Membe Addressing the 67th session of the United Nations General Assembly in New York

    I agree with Membe on many issues, and the theme which is "Bringing about adjustment or settlement of international disputes or situations by peaceful means." And in the same context disagree with others who have recently used the UN platform to justify war instead. I think the speech, clearly...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kwa NEC hii mpya, CCM inakwenda kufa - Dr. Slaa

    Wakuu, Ni aibu kuona chama kinaendeshwa bila nidhamu. Na kama nidhamu ipo, basi wale ambao hawana nidhamu ndani ya chama wawajibishwe. Bila hiyvo, uongozi wa CCM wa Taifa lazima uwajibishwe kwa kutoleta nidhamu sio ndani ya Chama tu, bali hata serikali inayoshikilia na kuendesha. Kwa mlolongo...
  5. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania US Sec of State, Hillary Clinton in major African trip.

    Mkuu, Matamshi kama hayo hapo juu ndiyo wanayotaka, mimi sioni, angalau kwa sasa kuwa Wachina wako kwaajili ya kutufilisi. Historia inajionyesha yenyewe. Sisi hao hao waafrika ambao kwa namna moja au nyingine, tumechangia kwenye nyanja nyingi Marekani, na bado "quid pro quo". Nakumbuka wakati...
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania US Sec of State, Hillary Clinton in major African trip.

    Wivu ni kitu kibaya sana
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mchumia Juani Upo?

    Duh long taym hapa yuko wapi huyu?
  8. A

    JamiiForums Tanzania Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

    Inasikitisha kuona kuwa sasa tumefikia hapa, tena mara nyingi tu! Tukumbuke kwamba sasa hivi kuna wale ambao wanachekelea mdahalo huu, wanajua fika kuwa tumefika wanapotaka tufike. Nitasisitiza kuwa muungano wowote ule ambao uko nje na matakwa ya mabepari na watwana wa magharibi(kama wapo)...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mtanzania kutoka Trilioni mfukoni!

    Hii linki hapo juu imekufa! Katika pita pita yangu michuzi niliona Mheshimiwa Kabwe ameonyesha kuwa sasa tunadaiwa hizo trilioni! Tutafika kweli?
  10. A

    JamiiForums Tanzania Mtanzania kutoka Trilioni mfukoni!

    Madeni ndio hayo!
  11. A

    JamiiForums Tanzania Mzee David Wakati Katutoka Leo

    Mchango wako kwa Taifa letu hauwezi kusahahulika, Rest In Peace. Kwa Familia, Mungu awape nguvu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kama ungepewa urais ungeanza wapi kunyanyua hali za wananchi?

    Huu ndio wakati muafaka ...maswali haya yangeelekezwa kwa wagombea wa sasa Kama utachaguliwa Uraisi utaanza wapi kunyanyua hali za wananchi? DK. Slaa? J.K?
  13. A

    JamiiForums Tanzania GE2010 Mama Salma akerwa na Ilani ya CCM kutopembuliwa kitaalamu utekelezaji wake

    Mkuu, Nimepumbazwa na hayo matamshi yake. Swali langu kama lake na kama limenukuliwa vilivyo... ...."hakuna wanofanya upembuzi yakinifu" kabla hajakurupuka na matamshi yake? Maoni yangu, anaongeza nguvu ya wale ambao wanadai au kuona ilani hiyo haimsaidii mtanzania.(kama imepwaya)...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Nani atakuwa Rais muokozi wa Tanzania?

    Wakuu, Muokozi wa Tanzania ni sisi wenyewe, hakika kama tukikaa na kutafakari yote ambayo yametupita, tutaona kuwa ni sisi wenyewe "Watanzania" tumejifikisha mahali tulipo Tunaweza kudai kuwa kuna walaghai, wala rushwa, watoa rushwa, na wengine wote walioturudisha nyuma, lakini wote hao bado...
Back
Top Bottom