Recent content by Asumwisye

  1. Asumwisye

    Nape: Ben Saanane amepotea, Clouds wamevamiwa, akina Roma wametekwa, Rais achukue hatua

    Yupo wapi BEN SAANANE? Familia yake itakuwa katika wakati mgumu kipindi chote hiki.........
  2. Asumwisye

    Maalim Seif: Lipumba anatumika na Chama Tawala(CCM) kudhoofisha Upinzani

    Ahsante kwa taarifa.........kama alijiuzuru inakuwaje tena analazimisha kurudi, kweli anatumiwa huyu. siasa chafu hizi
  3. Asumwisye

    Laugh Out Loud with KANSIIME

    Ni mchekeshaji bomba but kiingilio ndio tabu hapa, labda kama wametageti group fulani la watu. Wachekeshaji wetu hapa bongo kiingilio shs. 10,000 tu! Big difference.
  4. Asumwisye

    Dr Bahati Kaluwa katutoka

    RIP mate, you will be missed mostly. We have lost a good human being. May his soul rest in eternal peace. Amen.
  5. Asumwisye

    Membe: Balozi wa China amefanya makosa makubwa! Serikali kuchukua hatua

    Ndio utajua uelewa wa hao viongozi wapayukaji wa CCM sasa, maana hata hawajui kuhusu majukumu ya mabalozi wa nchi za nje hapa, na huyo balozi naye hana washauri au ni bange zake tu? Haya mimi napita tu hapa....
  6. Asumwisye

    Cock ring

    Nazani rahisi zaidi kupata ni katika hospitali au katika dispensary maana hapa nazani utahitaji ushauri pia kutoka kwa wataalamu jinsi ya kutumia au pia kuelekezwa kwamba kutokana na maumbile yako hauhitaji ring.Kila la heri.
  7. Asumwisye

    The best tv series of all the time

    Spooks (MI5) safi sana ya kijasusi hii,Kyle XY nzuri pia,The Closer hii pia safi,Will bring more series other time.
  8. Asumwisye

    Nape Nnauye: CCM tunapinga Uwepo wa Serikali Tatu.

    Siasa bwana, watu siku hizi wamefumbuka macho thanks to CHADEMA. Huyu dogo angesema sababu za wao kupendelea Muungano wa serikali mbili and NOT tatu au moja, ili watu waweze kutoa maoni yao pia.Waache kulazimisha watu kukubaliana na mawazo ya watu wachache wanaofaidka na serikali mbili, maana...
  9. Asumwisye

    Wazanzibar Wamshangaa Warioba kwa kupendekeza serikali tatu!

    Hivi ni kweli Muungano unawanyonya wazanzibar? Maana naona ni wao ndio wanataka Zanzibar huru, lakini waTanganyika wao wapo kimya kuhusu Tanganyika yao, je wao hawahitaji nchi yao ambayo imefunikwa katika vitabu vya historia tu? Hapa naona kama kuna umuhimu wa kuwa na serikali ya muungano basi...
  10. Asumwisye

    LIVE! UEFA Final, Dortund v Munich - Ligi ya Mabingwa Ulaya; Leo 25/05/2013

    All the best BVB They deserve the trophy AMEN BROTHER.
  11. Asumwisye

    MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?

    Mada hii ni nzuri, mke wangu yeye anadai huwa anapata raha sana kama tukifanya mapenzi akiwa katika siku zake. Lakini damu ya hedhi ina harufu fulani ndio maana watu wengi na hasa wanawake hawapendi kujamiiana wakiwa katika siku zao.
  12. Asumwisye

    Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

    Amepotea njia huyu, aende kukata viuno tu maana ndio kikubwa alichojifunza akiwa jeshini, wenzake wanajifunza ukakamavu yeye anajifunza kukata viuno..!
  13. Asumwisye

    Lema aumbuka! Namba ya simu aliyodai ya Mulongo ilikuwa ni Uzushi

    Hapa naona kama vile odacom nao wanaanza kujiingiza kwenye siasa kwa kukumbatia ccm. Tunajua polisi wao ni wana-ccm sasa voda nao wanataka kujiingiza huko!!! Hii inji bwana.
  14. Asumwisye

    Dr Slaa amuumbua John Tendwa

    Tendwa zero kabisa, yaani hawezi kuficha mapenzi yake kwa chama cha CCM.
  15. Asumwisye

    Ndugai amtetea Rage kuwa alikuwa anatuliza vurugu

    Ndugai si muhuni tu yule, jamaa zake wamempandikiza pale kwa maslahi yao hana kitu. Naibu spika inatakiwa awe mtu mwenye hekima, sasa jamani Nguday na hekima wapi na wapi....! Yaani anasahau hata wananchi wake waliomchagua, maana ishu hata za maslahi ya taifa yeye anaziweka kampuni, jamaa hana...
Back
Top Bottom