Awamu ya tano ilkuwa ngumu kwa watumishi wa umma. Hili halipingiki, kuna watumishi wengine waliacha kazi kabisa, sababu ikiwa no increments, no madaraja,ila kukawa na asilimia 15 ya makato ya Heslb na vikokotoa vya ovyo emerged. Sijui kwa nn watumishi wa umma were not valued. KAMA WEWE NI...
Siyo kweli kwamba Spika aliyejiuzulu ana nguvu kisiasa nchini Tz, Kama Kongwa kwenye alikuwa anapga watu kwa fimbo ndyo apite kwenye kura za maoni. Kwangu mimi huyo jamaa siyo maarufu kwenye siasa za Tz, ispokuwa anajulikana tu kwamba alkuwa speaker. Kwenye majukwaa ya kuomba kura kwa wananchi...
Kipindi cha awamu ya tano makusanyo ya mwezi yalitangazwa,ila kwa sasa ni zaidi ya miezi mitano kimya kulikoni. Ukijumlisha na tozo ambazo tunalipa nadhani mapato yamepanda juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.