astrologist
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 221
- 268
Kipindi cha awamu ya tano makusanyo ya mwezi yalitangazwa,ila kwa sasa ni zaidi ya miezi mitano kimya kulikoni. Ukijumlisha na tozo ambazo tunalipa nadhani mapato yamepanda juu.
Ule ujinga wa kutafuta sifa za uongo ulizikwa ChatoKipindi cha awamu ya tano makusanyo ya mwezi yalitangazwa,ila kwa sasa ni zaidi ya miezi mitano kimya kulikoni. Ukijumlisha na tozo ambazo tunalipa nadhani mapato yamepanda juu.
Na nyinyi wananchi mlivyo wa hovyooo mnakubali tu kuibiwa mchana kweupe.Ni ngumu kujua hao wadangaji wanakusanya kiasi gani sababu ni majizi ya mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaibiwa mabwege wengine tunajua namna ya kufidia hasara.Na nyinyi wananchi mlivyo wa hovyooo mnakubali tu kuibiwa mchana kweupe.
Kwani wewe hupendi pesa,kaibe ule keki...zama za majigambo zilizikwa ChatoNi ngumu kujua hao wadangaji wanakusanya kiasi gani sababu ni majizi ya mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaibiwa usiku au?Na nyinyi wananchi mlivyo wa hovyooo mnakubali tu kuibiwa mchana kweupe.
Ahahahhahah wote wa hovyoo
Mimi nipo kitengo nyeti, nawachora tuWewe unaibiwa usiku au?
Kitengo cha kuliwa Tigo labda 🖕🖕Mimi nipo kitengo nyeti, nawachora tu
Sasa tutafanyaje, wakielekezwa wanaleta ujuaji.... Basi kila mtu atumie akili zake alizonazo kuishi.Ahahahhahah wote wa hovyoo
Pesa za dhuluma huwa na mwisho mbaya. Ukipiga pesa za miradi ya serikali unakuwa hauna tofauti na mtu aliekula pesa za wajane na yatima au rambi rambi. Ni upuuuuuuzi yaani.Kwani wewe hupendi pesa,kaibe ule keki...zama za majigambo zilizikwa Chato
Kama Dhalimu Jiwe alivyokuwa na mwisho mbayaPesa za dhuluma huwa na mwisho mbaya. Ukipiga pesa za miradi ya serikali unakuwa hauna tofauti na mtu aliekula pesa za wajane na yatima au rambi rambi. Ni upuuuuuuzi yaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono bwasheè, raia wengi hawajitambui, ukipata fursa piga kwenye mshonoSasa tutafanyaje, wakielekezwa wanaleta ujuaji.... Basi kila mtu atumie akili zake alizonazo kuishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio michezo yako, wewe ni binti wa hovyooooKitengo cha kuliwa Tigo labda