Recent content by AstonMartin V8

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

    Ziko wapi 1.5 trillion????
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

    R.I.P
  3. A

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa wateja wetu wa Umeme waliounganishwa kwenye gridi ya taifa

    Nipo mbweni mazizini huku Zanzibar, umeme ukematika tangia mchana mpaka sasa hivi
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni kunijibia Mtihani huu wa kupima IQ ya Mtu na aina ya Roho yake aliyonayo kwa Mwenzake

    Wakumpisha ni yule aliyekaribu na mimi ambaye ni mama mjamzito aliyebabe mtoto mgongoni. Sababu ya kwanza ya kumpisha ni kwamba ndiye aliye karibu na mimi kwa hiyo ni mtu wa kwanza nitakaye muona kabla sijawaona hao wengine.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Wachina ni watu hatari mno kufanya nao kazi

    Wahindi mwizi wanamuita chorichori au chakaraa. Kama unafanya kazi kwa muhindi ukisikia unaitwa chorichori ujue wewe ni mwizi.
  6. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Nimefiwa na baba yangu mzazi

    Pole sana
  7. A

    JamiiForums Tanzania Serikali yasema itagharamia mazishi na haitokabidhi fedha kwa familia

    They get what the deserve. Huu msiba watu walikua wameuvalia njuga na wafiwa wangechangia na wananchi Tanzania nzima na kupata hela ya kutosha. Kama sijasahau kuna mwanaJf alikua amejitolea gari la kubeba maiti, je kulikua na watanzania wangapi ambao walikua wapo tiari kujitolea kwa huo...
  8. A

    JamiiForums Tanzania There's a beast in every man and it stirs when you put a sword in his hand.

    Kazi ya police kwenye maandamano ni kulinda amani, usalama wa raia na mali zao. Hali kadhalika kutokana na udhaifu au uvumilivu mdogo tulioumbwa nao sisi binadamu ni rahisi mtu kupandishwa hasira akajikuta anafanya jambo bila kusudia kwenye sehemu kama zile. Lakini japokua tuna udhaifu huo...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    R.I.P mdogo wetu, dada yetu na ndugu yetu Aquilini. Mwenyezi akupumzishe mahali pema.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Huu ni utabiri wangu kabla ya uchaguzi wa kinondoni na Siha

    Jana na leo
  11. A

    JamiiForums Tanzania Neno la shukrani alilotoa kijana aliyepiga picha expansion joints za hostel

    Kwani raisi ni Mungu. Watanzania siku tukiacha uogo na unafiki tutatoka katika dimbwi hili la umaskini Dogo hana kuso lolote kwa kusema anacho amini yeye. Ana haki kikatiba kusema anacho amani yeye ili mradi akiathiri usalama wa taifa.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Neno la shukrani alilotoa kijana aliyepiga picha expansion joints za hostel

    Ni free speech,kuna kosa gani kusema anacho amini yeye? Uoga wako baki nao wewe na familia yako. Watu wenye uoga kama nyie ndio mnasababisha baadhi ya viongozi wajione Miungu watu.
Back
Top Bottom