FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Safi, hayo mazishi hayatagharimu hata milion 5
Acha ikuumeFamilia ilikosa tu watu wenye msimamo nakuendelea kuwaamini hata wale wala rambirambi
Hili jambo lingesimamiwa na wananchi naamini lingeenda murua kabisa
iyo hela inatosha wao kununua mbunge na madiwani kadhaa kwao ndo kipaumbele chao inauma sana
Kuwaamini hawa watu nisawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ona sasa ata wale wafiwa wanazidi kutoneshwa vidonda vyao
Yohana ata kama sio mtanzania kua na huruma ata na majirani zako tu
Sidhani kama uko sahihi. Je, kabla ys msiba huu, hawakuwa na mtaji wa biashara? Ukijibu hapo na kwa takwimu nitakuelewa vinginevyo ni uzushi usiofaa.Hawa ndugu zetu wachaga kwenye pesa sio watu kabisa nahisi hii familia ya marehemu walikuwa na mipango ya kupiga pesa tu za biashara
Mshika mawili moja humponyokaWao si waliona serikali itawapa pesa wakawa upande wa serikali haya sasa hamna pesa watapewa mahitaji
Hiyo familia ingekuwa upande wa wananchi na uhakika michango ingekuwa zaidi ya hiyo milioni 80
Hivo vyote si vitazidi hio 801. Magari yote yatatumiaka ya serikali na mafuta ya serikali.
2. Chakula chote kitatoka serikalini ( mchele kutoka hifadhi ya chakula, nyama kutoka ranchi za taifa, maharagwe hifadhi ya chakula ya taifa)
3. Jeneza kutoka karakana za magereza ( THey make best quality ).
4. MC na PA system tutatumia za wizara yoyote ( we have best PA systems, tunaweza azima hata TOT, we have good MC's for free).
5. Shughuli za kuchimba kaburi tutaweka vijana wa JKT na watakuja na vifaa vyote.
1. Posho ya viongozi wa seikali watakaoshiriki na kusafiri kwenda moshi msibani milioni arobaini,
2. chakula na vinywaji kwa viongozi wa serikali milioni 30,
3. posho za madereva wa serikali wakati wa shughuli nzima milioni 20.
Walifikiri hii serikali ni ya watu wa maana.Mshika mawili moja humponyoka
Familia watalia mara mbili kwani mil80 atafaida alikwenda msibani kula ubwabwa na aliyebaki Daresalama akipunga upepo
Wameyataka wenyewe.... Tamaaa imewaponza
Na movie imeishia hapo hakuna fidia wala faida ni machozi tu wameambulia