Huu ni utabiri wangu kabla ya uchaguzi wa kinondoni na Siha

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Aug 3, 2012
602
2,505
MIMI SIO NABII LAKINI YAFUATAYO UTAYAONA KINONDONI.

Salum Mwalimu akianza kampeni yeye au timu yake watakamatwa na kuwekwa ndani pia itaambatana na kunyimwa dhamana.

Wafuasi hasa wa upinzani kuna kupigwa na kuonewa bila hatia. Jeshi la polisi litakuwa kali kweli kweli.

Uchaguzi huu mizengwe itaanza mapema makada wa ccm watataka kumpinga mahakamani salum Mwalimu asigombee.

Mawakala watacheleweshewa form makusudi ili kusababisha vituo baadhi vikose mawakala wa upinzani ili wajivunie kura bila tatizo.

Kutakuwa na matamko ya hapa na pale ya tume ya uchaguzi kujaribu kujionesha wako neutral.

Wapinzani watashushwa majukwaani kwa kuikosoa serikali ya jpm. Na watafunguliwa mashitaka ya uchochezi na kukosa dhamana.

Vijana wa ccm wataongoza kwa vurugu na kuzuia wapinzani kuikosoa serikali.

Watafuta kazi wengi wataitisha press conference kuongea na vyombo vya habari kuisifia serikali na kukosoa hata kutukana upinzani.

Matokeo ya uchaguzi hayatatangazwa kirahisi kama ccm itaangukia pua.

YETU MACHO.
 
Cdm ningependa wajipange vizuri pindi watakapokuwa wanapanda jukwaani, wapange watu mahiri wa kuongea. Napendekeza wajipange kwenye mambo manne. tuchukulie mkutano wa wa masaa mawili.
  1. Uchumi: Hapa waelezee hali ya sasa ya uchumi nchini, ikiwemo ajira, kilimo nk Wawe na mchumi mzuri kwa kuelezea hii redundancy inayoitwa vyeti fake bila nafasi hizo kujazwa. Mabenk kufilisika, mikopo ya wanafunzi, ahadi za ccm kutokutekelezeka kama 50m@kijiji/mtaa, Kwanini umeme wa stiegler gorge, wakati awamu iliyopita tuliambiwa gas ndio kila kitu mpaka tukawa tunaimbishwa nchi nzima kama wendawazimu kuhusu uchumi wa gas. Hapa zitumike dakika 20-25.
  2. Hali ya siasa hapa nchini: Hapa izungumziwe demokrasia inavyominywa ikiwemo vyama vya upinzani kunyimwakufanya siasa lakini ccm ikiachiwa kutamba. Kupotea kwa watu kama Ben saa 8, mwandishi wa habari, shambulio la Tundu Lissu na kunyimwa haki za matibabu nk. Nashauri hapa kuwe na vijembe vya kisiasa na sio kejeli na matusi na hasa ikibidi hilo jina la kumuita Magufuli dictator lisitumike sana kwani ndio wanapopata kisingizio cha kusumbua wapinzani. Hapa ielezwe madhara ya kujaza wabunge wa ccm kwani wanaunga mkono hata mikataba mibovu na itolewe mifano kama walivyopitisha sheria ya gas na leo hawazungumzi lolote, Itumike tafsida kuelezea udictator wake. Hapa dakika 20-25.
  3. Cdm watafanya nini: Hapa cdm inabidi wawe wazuri kuonyesha iwapo wao watapewa madaraka watafanya nini kwenye ajira, maendeleo ya watu kama kujenga nyumba bora kwa kupunguza bei za vifaa vya ujenzi, zahanati kila kata, elimu bure mpaka chuo kikuu bure, kurejesha demokrasia, kurejesha uhusiano mwema na wafanya biashara, nk Hapa dk 20-25. Pia wanaweza kuweka dk 10-15 za maswali wangalau matatu na majibu kila mkutano.
  4. Mgombea kuzungumzia jimbo analolipigania matatizo na utekelezaji wake. Ahakikishe anapata taarifa za jimbo lake kupitia madiwani mbalimbali walioko hapo. Yeye ajikite kwenye matatizo ya watu wa jimbo lake tu, na siasa nyingine za kitaifa aachie wengine kama nilivyoainisha hapo juu. hapa atumie dk 30
Cdm wahakikishe wanafanya siasa za kistaarabu bila woga, lakini wawe na watu mahiri kwenye kuongea majukwaani na sio yale mambo ya kusema kwenye ilani. Kisha wawe na watu watakoaratibu kutoa habari kwenye uchaguzi kuanzia vyombo vya habari rasmi na kwenye mitandao ya kijamii. Hapa picha na ujumbe wa kampeni ufike vyema. Tukio lolote ovo liripotiwe kwa nguvu kubwa. Siku ya uchaguzi tatizo lolote lijazwe kwenye makabrasha husika. Kwa mtindo huu tutakuwa tumewabana ccm vyema na sio kampeni za kishabiki tu bila mpangilio mzuri.
 
Tumejipanga haswa juu ya hujuma za ccm,polisi na tume ya uchaguzi na safari hii ccm ndo watakuwa wanalialia kuhusu kupigwa!
 
Cdm ningependa wajipange vizuri pindi watakapokuwa wanapanda jukwaani, wapange watu mahiri wa kuongea. Napendekeza wajipange kwenye mambo manne. tuchukulie mkutano wa wa masaa mawili.
  1. Uchumi: Hapa waelezee hali ya sasa ya uchumi nchini, ikiwemo ajira, kilimo nk Wawe na mchumi mzuri kwa kuelezea hii redundancy inayoitwa vyeti fake bila nafasi hizo kujazwa. Mabenk kufilisika, mikopo ya wanafunzi, ahadi za ccm kutokutekelezeka kama 50m@kijiji/mtaa, Kwanini umeme wa stiegler gorge, wakati awamu iliyopita tuliambiwa gas ndio kila kitu mpaka tukawa tunaimbishwa nchi nzima kama wendawazimu kuhusu uchumi wa gas. Hapa zitumike dakika 20-25.
  2. Hali ya siasa hapa nchini: Hapa izungumziwe demokrasia inavyominywa ikiwemo vyama vya upinzani kunyimwakufanya siasa lakini ccm ikiachiwa kutamba. Kupotea kwa watu kama Ben saa 8, mwandishi wa habari, shambulio la Tundu Lissu na kunyimwa haki za matibabu nk. Nashauri hapa kuwe na vijembe vya kisiasa na sio kejeli na matusi na hasa ikibidi hilo jina la kumuita Magufuli dictator lisitumike sana kwani ndio wanapopata kisingizio cha kusumbua wapinzani. Hapa ielezwe madhara ya kujaza wabunge wa ccm kwani wanaunga mkono hata mikataba mibovu na itolewe mifano kama walivyopitisha sheria ya gas na leo hawazungumzi lolote, Itumike tafsida kuelezea udictator wake. Hapa dakika 20-25.
  3. Cdm watafanya nini: Hapa cdm inabidi wawe wazuri kuonyesha iwapo wao watapewa madaraka watafanya nini kwenye ajira, maendeleo ya watu kama kujenga nyumba bora kwa kupunguza bei za vifaa vya ujenzi, zahanati kila kata, elimu bure mpaka chuo kikuu bure, kurejesha demokrasia, kurejesha uhusiano mwema na wafanya biashara, nk Hapa dk 20-25. Pia wanaweza kuweka dk 10-15 za maswali wangalau matatu na majibu kila mkutano.
  4. Mgombea kuzungumzia jimbo analolipigania matatizo na utekelezaji wake. Ahakikishe anapata taarifa za jimbo lake kupitia madiwani mbalimbali walioko hapo. Yeye ajikite kwenye matatizo ya watu wa jimbo lake tu, na siasa nyingine za kitaifa aachie wengine kama nilivyoainisha hapo juu. hapa atumie dk 30
Cdm wahakikishe wanafanya siasa za kistaarabu bila woga, lakini wawe na watu mahiri kwenye kuongea majukwaani na sio yale mambo ya kusema kwenye ilani. Kisha wawe na watu watakoaratibu kutoa habari kwenye uchaguzi kuanzia vyombo vya habari rasmi na kwenye mitandao ya kijamii. Hapa picha na ujumbe wa kampeni ufike vyema. Tukio lolote ovo liripotiwe kwa nguvu kubwa. Siku ya uchaguzi tatizo lolote lijazwe kwenye makabrasha husika. Kwa mtindo huu tutakuwa tumewabana ccm vyema na sio kampeni za kishabiki tu bila mpangilio mzuri.
Naam, swali la tatu ndiyo muhimu, watafanya nini? Hoja zoote zilishajibiwa, wananchi wakaridhika na Mbunge wao wakamchagua. Ni Mbunge huyohuyo wapiga kura hawohawo kwa nini wasimchangie tens? Tofauti ni kwamba sasa hoja zake zitapita bungeni, maendeleo aliyowaahidi sasa yatakuja kwa sababu Rais kipenzi chake, kipenzi CHA Watanzania, sasa wako naye. Hakuna matusiTundulisu hakunausaliti wa ndege yetu, hakuna ukabila.
 
Baada ya Dr Slaa kuondoka hakuna mwana siasa aliyebaki Chadema, Hawana sera, wanalia lia tu. CCM imesha shinda
 
Cdm ningependa wajipange vizuri pindi watakapokuwa wanapanda jukwaani, wapange watu mahiri wa kuongea. Napendekeza wajipange kwenye mambo manne. tuchukulie mkutano wa wa masaa mawili.
  1. Uchumi: Hapa waelezee hali ya sasa ya uchumi nchini, ikiwemo ajira, kilimo nk Wawe na mchumi mzuri kwa kuelezea hii redundancy inayoitwa vyeti fake bila nafasi hizo kujazwa. Mabenk kufilisika, mikopo ya wanafunzi, ahadi za ccm kutokutekelezeka kama 50m@kijiji/mtaa, Kwanini umeme wa stiegler gorge, wakati awamu iliyopita tuliambiwa gas ndio kila kitu mpaka tukawa tunaimbishwa nchi nzima kama wendawazimu kuhusu uchumi wa gas. Hapa zitumike dakika 20-25.
  2. Hali ya siasa hapa nchini: Hapa izungumziwe demokrasia inavyominywa ikiwemo vyama vya upinzani kunyimwakufanya siasa lakini ccm ikiachiwa kutamba. Kupotea kwa watu kama Ben saa 8, mwandishi wa habari, shambulio la Tundu Lissu na kunyimwa haki za matibabu nk. Nashauri hapa kuwe na vijembe vya kisiasa na sio kejeli na matusi na hasa ikibidi hilo jina la kumuita Magufuli dictator lisitumike sana kwani ndio wanapopata kisingizio cha kusumbua wapinzani. Hapa ielezwe madhara ya kujaza wabunge wa ccm kwani wanaunga mkono hata mikataba mibovu na itolewe mifano kama walivyopitisha sheria ya gas na leo hawazungumzi lolote, Itumike tafsida kuelezea udictator wake. Hapa dakika 20-25.
  3. Cdm watafanya nini: Hapa cdm inabidi wawe wazuri kuonyesha iwapo wao watapewa madaraka watafanya nini kwenye ajira, maendeleo ya watu kama kujenga nyumba bora kwa kupunguza bei za vifaa vya ujenzi, zahanati kila kata, elimu bure mpaka chuo kikuu bure, kurejesha demokrasia, kurejesha uhusiano mwema na wafanya biashara, nk Hapa dk 20-25. Pia wanaweza kuweka dk 10-15 za maswali wangalau matatu na majibu kila mkutano.
  4. Mgombea kuzungumzia jimbo analolipigania matatizo na utekelezaji wake. Ahakikishe anapata taarifa za jimbo lake kupitia madiwani mbalimbali walioko hapo. Yeye ajikite kwenye matatizo ya watu wa jimbo lake tu, na siasa nyingine za kitaifa aachie wengine kama nilivyoainisha hapo juu. hapa atumie dk 30
Cdm wahakikishe wanafanya siasa za kistaarabu bila woga, lakini wawe na watu mahiri kwenye kuongea majukwaani na sio yale mambo ya kusema kwenye ilani. Kisha wawe na watu watakoaratibu kutoa habari kwenye uchaguzi kuanzia vyombo vya habari rasmi na kwenye mitandao ya kijamii. Hapa picha na ujumbe wa kampeni ufike vyema. Tukio lolote ovo liripotiwe kwa nguvu kubwa. Siku ya uchaguzi tatizo lolote lijazwe kwenye makabrasha husika. Kwa mtindo huu tutakuwa tumewabana ccm vyema na sio kampeni za kishabiki tu bila mpangilio mzuri.
Ushauri mzuri ila kampeni c siku moja, kwa hyo waambie pia hatutaki kuona kasoro ndogondogo zinazoweza kutunyima ushindi. Waambie wananchi wanatupenda ila hatujali hisia zao, tunawaangusha halafu tunalalamika. Waambie Mawkala wapikwe vizuri ili wazifahamu vizuri kanuni na taratibu zote z uchaguzi husika. Waambie wakala kununulika ni aibu sana. Waambie hatutaki makosa yoyote yatokee, tunataka kiti chetu tu bas. Waambie kwamba wanauzoefu wa kutosha kuhusu uchaguzi kuliko sisi hvyo tupo Tatar kwa ushindi tuu. Waambie wapinzani wetu hawatuwezi na wanatuogopa na wanamtegemea mwenyekit wao apore. Waambie ushindi ni lazima, kwan tuna kila nyenzo.
Ni mm Chairperson wa Mtaa
 
Naam, swali la tatu ndiyo muhimu, watafanya nini? Hoja zoote zilishajibiwa, wananchi wakaridhika na Mbunge wao wakamchagua. Ni Mbunge huyohuyo wapiga kura hawohawo kwa nini wasimchangie tens? Tofauti ni kwamba sasa hoja zake zitapita bungeni, maendeleo aliyowaahidi sasa yatakuja kwa sababu Rais kipenzi chake, kipenzi CHA Watanzania, sasa wako naye. Hakuna matusiTundulisu hakunausaliti wa ndege yetu, hakuna ukabila.

ushindani wa sera duniani ni kitu cha kawaida sana. Vinginevyo nchi zilizoendelea kusingekuwa na vyama vya upinzani.
 
Kinondoni sio tena ile ya ccm kujizolea kura sasa imekua ngome ya watu wapenda maendeleo na mabadiliko ya kweli kinondoni imekua ngome ya upinzani tena wakiwango cha juu sana kuliko ccm mnavyo chukulia poa
 
Hata wamuweke ndani kwa miezi 6 I can assure you watz wa kinondoni tutamchaguwa mwalimu tu na hata kwenye kutangaza wakileta mizengwe zitapigwa tu. Tumechoka na upuuzi wa hovyo hovyo namna hiyo. Si aliukataa ubunge? Sasa anautaka tena? Kwani mshiko alopewa hautoshi? C akamuulize mwenzake padre ilikuwa je kakaaje ughaibuni miaka miwili ? AENDE ZAKE HUKO
 
Nafikiri wataanza na vikwazo vya kumkatia rufaa mmoja wa mgombea

Sarakasi tayari zimeshapangwa kitambo naimeelekea kwenye wayatakayo maana UKAWA wangekuwa na mgombea 1 ila kinachofuata ni wao kunyang'anyana kura

Endapo Mtulia na Mollel watashinda basi nitajua wanakinondoni wanafanana na halmashauri yao
 
Hata wamuweke ndani kwa miezi 6 I can assure you watz wa kinondoni tutamchaguwa mwalimu tu na hata kwenye kutangaza wakileta mizengwe zitapigwa tu. Tumechoka na upuuzi wa hovyo hovyo namna hiyo. Si aliukataa ubunge? Sasa anautaka tena? Kwani mshiko alopewa hautoshi? C akamuulize mwenzake padre ilikuwa je kakaaje ughaibuni miaka miwili ? AENDE ZAKE HUKO
Hii ndio dawa pekee iliyobaki.
 
Back
Top Bottom