Habari wana JF, kwa yoyote anayejihusisha na uzalishaji wa viriba/polythene tubes size mbalimbali vya kuwatikia miche, au mwenye connection hiyo, naomba tuwasiliane inbox au kwa 0622 661 196.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama upo serious eneo hilo litapatikana mkuu. Mkoa wa Njombe vijiji vya tarafa ya Lupembe, ni eneo ambalo miti inastawi vizuri sana kulinganisha na maeneo mengine ya Iringa na Njombe. Kwa kias cha eka 100, tunaweza kupata hata kwa elfu 90 kila eka. Karibu.
Detail zaidi hususani kutoka kwa mtu ambaye amekifanya, uwayijaji wa mbegu, uoataji, ukuaji, grafting na upatikaji wa vikonyo sana sana ndo shida. Hata kama kuna mtu anayefahamu kuwa kuna sehemu naweza kuta plantation ya zao hili utakuwa ni msaada mkubwa sana kwangu.
Sent using Jamii Forums...
Ni jamii hii, inatoa nuts ambazo zinabunguliwa na kutoa kiini ambacho ndo chenye matumizi. Ni chakula kwa kutafunwa kina radha nzuribsana na nutritional contents nying nzuri. Zaid inatoa product nyingi nyingi za urembo na dawa, eg mafuta n.k
Zao lipo Tanzania lakin inaonekana kwa scale ndogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.