Habari za wana JF,
Mimi natafuta shamba la kupanda miti aina ya Pine, for export. Natafuta kuanzia 100,000 hectares and above. Nitashukuru nikipata msaada haswa nikipata sehemu za Iringa, lakini mahali popote pale PINE trees zinawezeka kukua.
Nashukuru na nitashukuru kwa msaada wa aina yeyote, asanteni sana.
Mimi natafuta shamba la kupanda miti aina ya Pine, for export. Natafuta kuanzia 100,000 hectares and above. Nitashukuru nikipata msaada haswa nikipata sehemu za Iringa, lakini mahali popote pale PINE trees zinawezeka kukua.
Nashukuru na nitashukuru kwa msaada wa aina yeyote, asanteni sana.