Mungu alimuumba mtu mwaume,akamfanyia msaidizi kutoka ubavuni kwake ambae ni mwanamke,
Mwamini Mungu akupe mke mwema,maana apatae mke apata kitu chema,naimani ukiomba hakuna linaloshindikana kwa Mungu hapo umetumia akili zako tuu,hebu nitafte imbox nikusaidie jamani,
Mke mwema ni nani awezae...