Recent content by asmaa80

  1. asmaa80

    Hotuba ya Kiingereza ya Rais Magufuli na wafanyabiashara wa Afrika Kusini

    Huna hata haja ya kupoteza nguvu zako kuongea yote, BINADAMU NDO TULIVYO, Hata asingekuwa na hiyo karatasi akaongea mwanzo mwisho, wangekuja tu kuchokonoa na jambo jengine wapate la kuongea.
  2. asmaa80

    Hivi jimbo la Lazaro Nyalandu halina kero zinazomhitaji?

    Aise Una roho mbaya mpaka umeshindwa Vumilia, mtu akisoma msg yako imejaa roho flani ambayo hata Mungu haipendi, kwahiyo wewe ukiwa na tatizo la chakula kwako, kwa jirani yako kukifiwa unashindwa hata kwenda saidia kubeba jeneza au kukaribisha wageni ati tu kisa kwako kuna shida pia. BADILIKA...
  3. asmaa80

    Brother Mo Dewji, seriously??

    Hata sisi wenyewe kwa wenyewe huwa tunabaguana sijui USIOLEWE NA MHAYA, MARA MCHAGA MARA MKURIA, Kama sie kuna makabila hatuyataki kuna tatizo gani kwa wao kukataa weusi?? Tena heri ya sie weusi utamaduni wetu mwingi wafanana, tofauti na mdosi akaolewe na msukuma umwambie asonge ugali ndoa...
  4. asmaa80

    Maajabu ya CV wa Lucy Mayenga: Sikuwahi kumjua huyu mbunge maana hajawahi kuwa na ushawishi wowote

    ha ha ha ha ha ha Nikikumata sijui nitakufanya nini duh!
  5. asmaa80

    Hivi wanandoa wenzangu na wake zenu pia wako kama huyu wangu?

    Matatizo aliyoeleza na mkewe wale hayahusiani na maelezo uliyompa, kutoshelezwa unyumba ndo uwe na roho mbaya kwa wakwe zako??????????? au ufanye mambo kwa siri, hizi ni tabia mbaya tu za kubadilishwa.
  6. asmaa80

    Zitto Kabwe: Kila wakipanga kuniteka wanakuta mti wa mrumba au Bwawa la karosho au ziwa Tanganyika

    Ha ha ha ha usikute hakuwepo pia pale labda alilala kwake, kama mambo yenyewe ndo haya.
  7. asmaa80

    Mauaji ya Polisi: Mwigulu azungumzia vilivyohisiwa visababishi vya sintofahamu hiyo

    Uislam haujagiza kuuwa watu wasio na hatia, au kuua ovyo ovyo, hao wanafanya UALIFU TU kama majambazi, nyuma ya mgongo wa Dini, Hatuungi mkono hizo takataka. Kama ni kweli yalosemwa basi waislam tukemee kwa nguvu zoote, na tuwe karib na vijana wetu, kuwachunguza mienendo yao, namna hii...
  8. asmaa80

    TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    pole sana kaka, Mungu akupe uvumilivu katika kipindi hiki kigumu.
  9. asmaa80

    Anapiga sana makelele wakati wa tendo la ndoa

    kama ukizidisha Sauti ya radio nae anazidisha ni MUONGO, Na kelele za kweli huwa hazikeri zinakuwa ni za chini na sauti inakuwa imechoka sana, wengine wana act tu.
  10. asmaa80

    Rais Magufuli akimaliza muda wake wengi watammiss sana

    kama watu walimmiss Mkapa wakati wa JK, Basi itakuwa hivyo, kwa kila ajae na aondokae.
  11. asmaa80

    Kikwete alivyoshangiliwa Bungeni leo inamaanisha nini?

    kuna Comment nyengine hata si za kujibu, wengine wanajifurahisha tu kuandika.
  12. asmaa80

    Maadui wa Paul Makonda watofautiana

    HAO WOTE TUWAITE WAONGO NA MAADUI, Sasa basi Muhusika anayo nafasi ya kuweka Mambo sawa ili huo mjadala ufungwe.
  13. asmaa80

    Usomi wa Rais Magufuli na Kasumba ya Kiingereza

    Kudhalilisha Taifa kwa nani? Ni utumwa wa Mawazo kama Nchi inayotumia Kiswahili Rais wake kukosea lugha ya kigeni ni Udhalilishwaji basi huo ni UTUMWA, Hata OBAMA hajui Kiswahili alipokuja kujiongelesha TZ Alidhalilisha wamarekani kisa hajui KISWAHILI?? KINGEREZA NI LUGHA TU, Na hata hiyo...
Back
Top Bottom