Huna hata haja ya kupoteza nguvu zako kuongea yote, BINADAMU NDO TULIVYO, Hata asingekuwa na hiyo karatasi akaongea mwanzo mwisho, wangekuja tu kuchokonoa na jambo jengine wapate la kuongea.
Aise Una roho mbaya mpaka umeshindwa Vumilia, mtu akisoma msg yako imejaa roho flani ambayo hata Mungu haipendi, kwahiyo wewe ukiwa na tatizo la chakula kwako, kwa jirani yako kukifiwa unashindwa hata kwenda saidia kubeba jeneza au kukaribisha wageni ati tu kisa kwako kuna shida pia. BADILIKA...
Hata sisi wenyewe kwa wenyewe huwa tunabaguana sijui USIOLEWE NA MHAYA, MARA MCHAGA MARA MKURIA, Kama sie kuna makabila hatuyataki kuna tatizo gani kwa wao kukataa weusi?? Tena heri ya sie weusi utamaduni wetu mwingi wafanana, tofauti na mdosi akaolewe na msukuma umwambie asonge ugali ndoa...
Matatizo aliyoeleza na mkewe wale hayahusiani na maelezo uliyompa, kutoshelezwa unyumba ndo uwe na roho mbaya kwa wakwe zako??????????? au ufanye mambo kwa siri, hizi ni tabia mbaya tu za kubadilishwa.
Uislam haujagiza kuuwa watu wasio na hatia, au kuua ovyo ovyo, hao wanafanya UALIFU TU kama majambazi, nyuma ya mgongo wa Dini, Hatuungi mkono hizo takataka. Kama ni kweli yalosemwa basi waislam tukemee kwa nguvu zoote, na tuwe karib na vijana wetu, kuwachunguza mienendo yao, namna hii...
kama ukizidisha Sauti ya radio nae anazidisha ni MUONGO, Na kelele za kweli huwa hazikeri zinakuwa ni za chini na sauti inakuwa imechoka sana, wengine wana act tu.
Kudhalilisha Taifa kwa nani? Ni utumwa wa Mawazo kama Nchi inayotumia Kiswahili Rais wake kukosea lugha ya kigeni ni Udhalilishwaji basi huo ni UTUMWA, Hata OBAMA hajui Kiswahili alipokuja kujiongelesha TZ Alidhalilisha wamarekani kisa hajui KISWAHILI?? KINGEREZA NI LUGHA TU, Na hata hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.