Salaam.
Naomba kufahamishwa kama kuna mabadiliko yoyote ya muda uliopangwa kwa mteja kuunganishiwa umeme pale anapokuwa amelipia gharama za service line.
Inafahamika kuwa baada ya mteja kulipia, TANESCO wanatakiwa kumfungia mteja umeme ndani ya kipindi kisichozidi miezi mitatu (3). Lakini...
The best gas cooker ni West Point. Ila ni shuruti upate West Point original ya France. Kwa brand hiyo utasahau kabisa habari ya majiko maana ni durability yake ni ya hali ya juu kabisa.
Nina miaka 10 na West Point ya kioo na halijawahi kuleta shida.
Si busara kuwalazimisha viongozi wa kiislamu waongee mnayoyataka nyie hata kama hawana la kuongea.
Pia si lazima viongozi wa imani fulani wakitoa maoni yao kwa njia waitakayo wao basi na wa imani nyingine wafuate mkumbo hata kama hawana hoja kuhusiana na suala hilo.
Pia ni vizuri kufahamu kuwa...
Mwana JF aliyeanzisha thread ameamua kupotosha Umma.
Mosi, hakuna mwalimu hata mmoja kati ya hao waliobadilishiwa vituo vya kazi aliyeshushwa daraja. Ukiongelea daraja unaongelea cheo na mshahara. Vyeo vyao vimeendelea kubaki vile vile ikimaanisha zoezi hili halina athari zozote ktk cheo na...
Mleta mada ana akili finyu kabisa. Hivi hii report, whatever the content, itatolewa kwa lengo la kuonesha huyo jamaa anayeitwa Lisu alipotosha wapi!? Au ni kwa lengo la kuonesha mikataba ya hapo nyuma ina mapungufu yapi ili itumike kama reference kwenye kurekebisha dosari zilizopo kwa mikataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.