Wamizigo
Member
- Sep 8, 2017
- 52
- 54
Habari wana JF,
Enzi za JK walimu kupitia viongozi wa CWT walikuwa wakitangaza migomo wakidai haki zao kama vile nyongeza ya mshahara, n.k.
Siku hizi mbona hatusikii viongozi hao wakitangaza hiyo migomo ilihali serikali ya Rais Magufuli haijafanya chochote kwa walimu hao.
Je, hii inamaanisha nini kwa viongozi hawa?
Enzi za JK walimu kupitia viongozi wa CWT walikuwa wakitangaza migomo wakidai haki zao kama vile nyongeza ya mshahara, n.k.
Siku hizi mbona hatusikii viongozi hao wakitangaza hiyo migomo ilihali serikali ya Rais Magufuli haijafanya chochote kwa walimu hao.
Je, hii inamaanisha nini kwa viongozi hawa?