Hawa watu wa halamshauri mtawaonea tu!unajua halmashauri zina maengineer wangapi!
Kuna wilaya moja ipo Pwani nlifanya nao kazi wale jamaa halmashauri nzim ina maengineer 2 walikuwa na miradi zaidi ya 300 kwa mwaka!hyo ni miradi ya halmashauri peke ake!bado kuna miradi ya sekta binafsi!hao watu...
Hili la kuwa mtoto wa mzee Mkila haliniingii akilini,yule mzee ni muislam safi sana yeye na mke wake,hilo jina Derick ni la kikristo inawezekana vipi,mumuache mzee wa watu apumzike kustaafu kwake!
Anayebisha kuwa uchawi hamna namuona bado hajapitia mahangaiko,Dunia hii tunayoishi unajua kwamba kuna watu wana maono ya kuona hadi message unazochart na mtu mwingine,kuna watu wana uwezo wa kuku scan na kujua hadi pesa utayolipwa kesho,Kuna watu wana maono ya kuona kuwa huko unapoenda ni...
Hizi changamoto za kusumbuana na mafundi mnazitaka wenyewe client, Siku hizi kuna makampuni mengi tu class VII wanajenga hadi nyumba za viwili, kaa nao chini mpatane muingie mkataba, mkiendelea kujenga ki local hvo mtapigwa sana na nasema mtaendelea kupigwa tu!
[emoji1][emoji1]Mnato mzee baba, nachojilaumu sikua na zana za wa Congo yani nngechakaza kweli kweli!! Sema nn na jana kaileta imechakazwa, yani kila nikiichakaza nawaza hela zangu alizokula huyu kunguni
[emoji1][emoji1] Ndio mkuu, toka jana nipo naye kaja kulala kabisa, kwa mda huu wacha azile ila asichojua ni kwamba moyoni hayupo kabisa!! Nataka nimpagawishe alafu nimuache kwa maumivu makubwa sana
MREJESHO
[emoji1][emoji1] Deal done, huyu binti nmemla Jana,
Kilichotokea ni kuwa toka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kufuma text ikabidi nmpotezee tu, basi mwezi wa tano ule akawa ananitext mm najibu short tu, akakata tamaa, akawa tena anakaa ananitext mara ananzingua nimtumie hela namjibu...
[emoji28]kuna client anakuambia yani mm nimpe hela,mtu anayekuja kunyoosha kidole tu hapana!Watanzania wengi hawaamini katika utaalamu wao wanataka mtu uchafuke au ubebe tofali ukiwa site ndo akupe hela
Mkuu yule demu cheupe,kama watu wanavyohonga siku hz mm nlikua nahonga elimu yani nlikua namhonga elimu mpaka basi,mana ndo ktu pekee nlichokua naweza kumhonga[emoji4], imagine alipiga Division one olevo na akawa wa kwanza kwa mabinti!nazani shida yangu ilikua moja tu nilikua rough...
Okay kwanza nianze Primary 1999-2005 nilikua napendwa na mdada mmoja wa kuitwa Lucy,na mm pia nlikua nampenda ila sijui ilikua inakuaje nikimuambia nampenda yeye anakataa,ikafka mda yeye akaanza kunambia ananipenda na mm nakataa,
Kufika la Saba mwanzoni akatokea crush mwingine alikua dada wa...
[emoji28][emoji28]demu anakula kitimoto imagine kuna siku alikua kilo moja na ugali peke ake kesho akataka tena nkaona hapa nadate na Fisi sio bure!ila demu sio huyo mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.