Jamani Nina mtaji kama million moja, nni biashara gani inaweza kunitoa??? Nipo dar, naombeni na mawazo yenu plz, maana kusubiria hizi ajira tutakoma mtaani bora tuangalie cha kufanya.
nakushauri kitu kimoja, kama hutojali, usisubiri kuajiriwa jaribu ujiunge na Oriflame kwa mtaji wa 9000/tshs tu,, ni juhudi zako kuuza product unapata faida, pia bonus utapata kwa mwezi kutokana na cc utazofikisha..
Nitafute kwa no 0762874195
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.