Natafuta kazi

Natafuta kazi

nakushauri kitu kimoja, kama hutojali, usisubiri kuajiriwa jaribu ujiunge na Oriflame kwa mtaji wa 9000/tshs tu,, ni juhudi zako kuuza product unapata faida, pia bonus utapata kwa mwezi kutokana na cc utazofikisha..
acha kumpotosha mwenzako.
 
nakushauri kitu kimoja, kama hutojali, usisubiri kuajiriwa jaribu ujiunge na Oriflame kwa mtaji wa 9000/tshs tu,, ni juhudi zako kuuza product unapata faida, pia bonus utapata kwa mwezi kutokana na cc utazofikisha..
Fafanua..
 
Habarini wakuu

Jamani bado sijapata kazi hadi sasa, nilitangaza hapa hapo awali kuwa nina Bachelor of science in food science and technology mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi. Naomba mnisaidie wakuu maana hapa ninapokaa nakaribia kufukuzwa muda wowote. Naombeni mnisaidie wakuu napatikana kwa 0758 106 501
Mkuu umesoma SUA?
 
Mkuu hii haiendani na hiyo course yake, umeona kaneno food nn
Sasa yeye si amesomea mambo ya misosi? I hope degree yake ina wide range of application. Ukingoja mpaka apate kazi labda Kiwanda cha Tanga Fresh kwenye kutengeneza maziwa au kwenye viwanda vingine vya kusindika vyakula, atakufa njaa mtaaani... Cha muhimu kwanza aingie kwenye payroll. Viwanda bongo hakuna....
 
Mimi sijampotosha ni ushauri wangu tuu sina mengine,,, kama ataona haufai si basi?? si lazima mtu afuate kila ushauri anaopewa
 
Tanzania ya viwanda ikija kweli watu kama nyie mtahitajika,
 
nipe idea yako nione kama inatekelezeka! coz kuna watu humu wanapesa ila hawana idea..so lete idea..then tuone tutabenefit vp mutually!
Kufuga kuku wa kienyeji katika sector ya nyama na mayai.
 
Back
Top Bottom