Nipo dar es salaamBiashara zipo nyingi sana Mkuu inategemeana na eneo ulipo kwanza, Pili utayari wako
Kwanza tulia, pili tafuta muda mzuri..upitie jukwaa la biashara, uchumi na ujasiriamali...kila kitu unavhotaka na kwa mtaji wowote ule...kuanzia micro...small to medium enterprises... Utapata ujuzi tosha pale. Hayo yote yameshajadiliwa sana mkuu!!! Huku ni kwa wanaotafuta ajira na wanaohitaji wafanyakazi. Asante.Jamani Nina mtaji kama million moja, nni biashara gani inaweza kunitoa??? Nipo dar, naombeni na mawazo yenu plz, maana kusubiria hizi ajira tutakoma mtaani bora tuangalie cha kufanya.
Asante kwa ushauri nimekuelewaKwanza tulia, pili tafuta muda mzuri..upitie jukwaa la biashara, uchumi na ujasiriamali...kila kitu unavhotaka na kwa mtaji wowote ule...kuanzia micro...small to medium enterprises... Utapata ujuzi tosha pale. Hayo yote yameshajadiliwa sana mkuu!!! Huku ni kwa wanaotafuta ajira na wanaohitaji wafanyakazi. Asante.