Natafuta kazi

Natafuta kazi

Nenda Morogoro kilosa kuna jamaa yangu anahitajika vijana 15 kwa ajili ya kuwawezesha kwenye kilimo cha migomba kwa Sasa ana shamba la migomba hekari 9 na vijana 11 bado wa4,, plan yake ni kuwa na hekari 15 na 5 anawakabidhi hao vijana 15 kama mradi wao Ila hao 15 wanakua wanatunza hizo hekari 15 na 5 anawakabidhi hao,, wako camp kila gharama ya chakula na kulala kwake hadi mavuno
 
mungu awe nawe katika kutafuta kwako.
pia soma vitabu mkuu vya self improvement vitakusaidia mkuu.
 
Naomba mawasiliano ya huyo jamaa.
Nenda Morogoro kilosa kuna jamaa yangu anahitajika vijana 15 kwa ajili ya kuwawezesha kwenye kilimo cha migomba kwa Sasa ana shamba la migomba hekari 9 na vijana 11 bado wa4,, plan yake ni kuwa na hekari 15 na 5 anawakabidhi hao vijana 15 kama mradi wao Ila hao 15 wanakua wanatunza hizo hekari 15 na 5 anawakabidhi hao,, wako camp kila gharama ya chakula na kulala kwake hadi mavuno
 
Habarini wakuu

Jamani bado sijapata kazi hadi sasa, nilitangaza hapa hapo awali kuwa nina Bachelor of science in food science and technology mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi. Naomba mnisaidie wakuu maana hapa ninapokaa nakaribia kufukuzwa muda wowote. Naombeni mnisaidie wakuu napatikana kwa 0758 106 501
 
Jaribu kupita kwenye shule za private wanahitaji walimu sana wa science wakati unaendelea kutafuta ajira au unangalia namna bora ya kujiajiri
 
Habarini wakuu

Jamani bado sijapata kazi hadi sasa, nilitangaza hapa hapo awali kuwa nina Bachelor of science in food science and technology mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi. Naomba mnisaidie wakuu maana hapa ninapokaa nakaribia kufukuzwa muda wowote. Naombeni mnisaidie wakuu napatikana kwa 0758 106 501
Mkuu
Upo wapi ?
 
nakushauri kitu kimoja, kama hutojali, usisubiri kuajiriwa jaribu ujiunge na Oriflame kwa mtaji wa 9000/tshs tu,, ni juhudi zako kuuza product unapata faida, pia bonus utapata kwa mwezi kutokana na cc utazofikisha..
Nitafute kwa no 0762874195
 
Rudi nyumbani ukajipange kwanza huko mjini usiende kama huna pa kuanzia.
 
Habarini wakuu

Jamani bado sijapata kazi hadi sasa, nilitangaza hapa hapo awali kuwa nina Bachelor of science in food science and technology mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi. Naomba mnisaidie wakuu maana hapa ninapokaa nakaribia kufukuzwa muda wowote. Naombeni mnisaidie wakuu napatikana kwa 0758 106 501
Duh! Nimeona hoteli kibao zinatafuta food an beverage manager! Kwani wewe unatafuta kazi gani mkuu? Mbona hoteli za kitalii nyingi tu zinakuhitaji na tena zinalipa vizuri tuu?
 
Habarini wakuu

Jamani bado sijapata kazi hadi sasa, nilitangaza hapa hapo awali kuwa nina Bachelor of science in food science and technology mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi. Naomba mnisaidie wakuu maana hapa ninapokaa nakaribia kufukuzwa muda wowote. Naombeni mnisaidie wakuu napatikana kwa 0758 106 501
Habarini wakuu

Jamani bado sijapata kazi hadi sasa, nilitangaza hapa hapo awali kuwa nina Bachelor of science in food science and technology mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi. Naomba mnisaidie wakuu maana hapa ninapokaa nakaribia kufukuzwa muda wowote. Naombeni mnisaidie wakuu napatikana kwa 0758 106 501
Sasa mkuu ninachokushauri, andaa CV zako nzuri kabisa kama tano hivi alafu upeleke kwenye hoteli kama tano ukiomba nafasi ya supervisor wa food and beverage. Am sure hautamaliza mwezi kijiweni. Fuata ushauri wangu plz...
 
Back
Top Bottom