miaka ya nyuma hili jukwaa lilikuwa poa sana.Hiyo mijitu ya kuponda na kukejeli imeibuka siku za hapa karibuni.Nadhani wengi wao ni hawa kizazi cha Mulugo!! Mimi ni shuhuda rafiki yangu kapata mke mwema hapa huu mwaka wa tatu sasa ndoa yao ipo poa.Hawa wanaotukana na kuponda nadhani ni wale...
Kati ya threads mbovu na inatia kichefuchefu kwa mwaka huu 2015 hii haitakosa kuwepo kwenye Top 3.
Kama msomi kama huyu anaandika upuuzi kama huu,sitaruhusu mwanangu miaka ya baadaye akasome UDSM
habali=habari,naitaji=nahitaji,tayal=tayari
Nina hofu hata jina Markia=Malkia.
Aina hii ya uandishi utajikosesha wanaume walio makini.Jitahidi kuboresha Kiswahili chako dada yangu.
Nakutakia mafanikio mema kwenye tangazo lako
Siku hizi jukwaa lina post za ajabu na za kitoto kweli,nadhani ni hawa graduates wa siku hizi hawana kazi kutwa wapo nyumbani na remote control mkononi
Awe wa dini na kabila lolote.Mimi muislam.Umri wangu 38.Mtumishi serikalini. Elimu yangu ya shahada moja.
Umri wake usivuke 33.
Maswali yatajibiwa PM
Karibuni
Wana Jf,
Nahitaji mwanamke aliye tayari kwa ndoa. Dini na kabila sibagui. Mimi ni muislam.Umri wangu 38. Nina elimu ya shahada moja. Nakaribisha wenye umri usiovuka 33. Maswali yote yatajibiwa PM.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.