mtakavyote
Senior Member
- May 21, 2015
- 143
- 71
Tafuta maujuzi ya kutumia hcho hcho kdg ulichnacho
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi, unaweza kua nayo ndogo na ukajua vyema kuitumia na mwenzio akafurahia..Jamani mimi mwenzenu napata shida saana kwani bunduki yangu ndogo sina uhakika kama itamtosheleza mwenza wangu.
Nashindwa kushiriki tendo kwa kuhofia kumboa.
Naombeni ushauri wenu.
Astakafillullahi
utaniona tu mkuu usijalHahahah... Natamanigi sana nimuone huyu mdada, YOU MADE MY DAY - nimechekwa kwanguvu hii comment
Sahihi kabisakwa sisi wawindaji kama unawinda swala huitaji bunduki kubwa ila kama unawinda tembo lazima bunduki iwe kubwa, cha ajabu kuna wakati hata swala wanahitaji bunduki kubwa na cha kushangaza zaidi kuna tembo wanahitaji bunduki ndogo, hatari sana.
haya bwanahahahaha huwa unanifurahisha sana wew😀😀😀😀
very small
small thing but production kubwaHaha umejuaje?
Sio mbaya lakini, Russell Peters aliwahi kusema wenye hizo mambo ndogo ndio wanaenda kasi hatari, akatolea mfano population za India na China ukilinganisha na size za vitu zao. Jamaa asife moyo tu.
bigger...is better!!!!!dufu dufuuuuusmall thing but production kubwa